Yanga yapaa kileleni ligi ya Tanzania
Timu ya soka ya Yanga imerejea tena kileleni mwa ligi ya Tanzania baada kupata ushindi dhidi ya African Sport.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Dec
Yanga yapaa kileleni
YANGA jana iliishusha Azam na kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya African Sports. Ushindi huo unaifanya Yanga ambayo ndio bingwa mtetezi wa ligi hiyo kufikisha pointi 27 na kuishusha Azam yenye pointi 26, lakini ikiwa na mchezo mmoja nyuma.
10 years ago
MichuziYANGA YAJICHIMBIA KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA
10 years ago
MichuziYANGA YAJICHIMBIA KILELENI MWA LIGI KUU YA VODACOM YA SOKA TANZANIA BARA
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
EPL: Arsenal yapaa kileleni
Washika bunduki wa London, Arsenal wamekaa kileleni mwa ligi ya England kwa pointi 39 baada ya kuichapa Bournemouth kwa mabao 2-0.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Juventus yaichakaza AC Milan, PSG yapaa kileleni
Juventus sasa inakaribia kutwaa taji la tatu la Ligi ya Italia baada ya kuichapa AC Milan mabao 2-0 na kuongoza kwa tofauti ya pointi 11.
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Azam yapaa, Yanga yashikwa
 Azam imeendelea kujikita kileleni mwa ligi baada ya kuichapa Coastal Union kwa mabao 4-0, wakati Yanga wakilazimishwa sulruhu na wachezaji 10 wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Chelsea yajiimarisha kileleni ligi kuu
Timu ya Chelsea imezidi kujichimbia kileleni mwa ligi kuu ya England baada ya kujikusanyia pointi 63
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania