JB:Diana ni Mmoja Kati ya Waigizaji Wanne Wakike Ninaowakubali
Mwigizaji na muongozaji mkongwe wa filamu zakibongo, Jacob Stephen “JB” amefunguka na kumtajamwigizaji wa kike , Dianarose Kimary “Diana” kuwa ni moja kati ya waigizaji wa kike wanne anaowakubali.
“Kwangu mimi Diana kimaro atabaki kuwa mmoja kati ya waigizaji wanne wakike ninaowakubali”.
JB aliyasema haya wakati wakiwa “ON SET” kwa movie yake mpya inayoitwa KALAMBATI LOBO ambayo inafanyika chini ya kampuni yake mwenyewe ya Jerusalem Films. Diana ni moja kati ya waigizaji wanaoshiriki...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s72-c/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, AHAMISHA SITA, WATATU WA ZAMANI AWAWEKA KIPORO, PIA ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE WAPYA WA WIZARA NA KUHAMISHA MMOJA.
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2156398/lowRes/670006/-/oe4wxmz/-/kikwete.jpg)
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s1600/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
PRESIDENT’S OFFICE,STATE HOUSE,1 BARACK OBAMA ROAD,11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OKh1S7vn6W0/U0a1xcRtOSI/AAAAAAAFZu4/cbt3iW5l8FU/s72-c/unnamed+(21).jpg)
majambazi watatu kati ya wanne wadakwa zanzibar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZhRgsV-UFh8/U6llJihjvlI/AAAAAAAFsok/v7j-XJi_Ue8/s72-c/unnamed+(9).jpg)
JK aapisha Balozi mmojA na Wajumbe wanne wa Tume ya Operesheni Tokomeza
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZhRgsV-UFh8/U6llJihjvlI/AAAAAAAFsok/v7j-XJi_Ue8/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzDamZ8MpSz-pI5pfTIY5brLKt5nNja5jzsG46kMo8i6eVjOj9hWfLXDy729*ofuo4UeHpfW3mLdiUcInJmGZYQC/Dully.jpg)
DULLY: HAJAOA, ANA WATOTO WANNE, KILA MMOJA NA MAMA YAKE
10 years ago
StarTV30 Sep
Van Gaal: Tuna mlinzi wa kati mmoja tu.
Kocha wa machester United, Louis van Gaal amesema Manchester united ina mlinzi wa kati mmoja tu mwenye uzoefu wakati huu kikosi hicho kinapotarajia kukipiga na west ham katika michuano ya ligi kuu ya England.
Marcos Rojo yuko fiti, lakini timu hiyo ina majeruhi kama Chris Smalling ana jeraha la mguu, Phil Jones ana jeraha kwenye, Jonny Evans ana jeraha la kifundo cha mguu na Tyler Blackett hatacheza mchezo huo.
Van Gaal analazimika sasa kuchukua wachezaji kwenye kikosi cha vijana...
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Van Gaal:tuna mlinzi wa kati mmoja tu
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Mmoja kati ya watoto 3 anaolewa mapema Afrika
9 years ago
Mwananchi26 Dec
YALIYOJIRI 2015: Kivumbi CCM kati ya 42 anatakiwa mmoja
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-_3v8IJjWbPg/VV9qtMQKwGI/AAAAAAAABp4/84Ogu3OidDw/s72-c/1412540566977_wps_42_MADRID_SPAIN_OCTOBER_05_T.jpg)
MMOJA KATI YA HAWA KUIBUKA KOCHA MPYA WA REAL MADRID
![](http://2.bp.blogspot.com/-_3v8IJjWbPg/VV9qtMQKwGI/AAAAAAAABp4/84Ogu3OidDw/s640/1412540566977_wps_42_MADRID_SPAIN_OCTOBER_05_T.jpg)