Idadi ya vifo vya watoto imepungua
Umoja wa Mataifa unasema mafanikio makubwa yamepatikana katika kupunguza vifo vya watoto wadogo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziIDADI YA VIFO VYA WATOTO WACHANGA YAENDELEA KUPUNGUA MBEYA
IDADI ya vifo vya watoto wachanga imeendelea kupungua Mkoani mbeya kutoka vifo 602 kwa mwaka 2012 hadi kufikia 568 kwa mwaka 2014 ambapo ni sawa na asilimia 5.7.
Hali hiyo inatokana timu ya uendeshaji wa huduma za afya mkoa kukaa pamoja na kutafuta ufumbuzi wa pamoja na kuweka maazimio ambayo wamekuwa wakiyatekeleza kwa pamoja.
Akizungumza jijini Mbeya mratibu wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoani humo Ndugu Prisca Butuyuyu amesema kutokana na usimamizi huo...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani
11 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Kikwete azindua mpango mkakati wa kuongeza kasi ya kupunguza Vifo vya Uzazi na vya Watoto leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kitabu Bibi Halima Shariff, mmoja wa wadau wa afya kutoka...
5 years ago
BBCSwahili28 Mar
Coronavirus: Fahamu kwanini idadi ya vifo vya coronavirus iko juu Italy?
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Tanzania yapunguza vifo vya watoto
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Ushirikina wasababisha vifo vya watoto
IMANI za kishirikina zimeelezwa kusababisha vifo vya watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi kwa kutofikishwa hospitali kupata matibabu. Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa chama kinachoshughulikia...
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Je vifo vya watoto vimepungua Afrika?