Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gari linalohisi mashimo barabarani

Watafiti wa gari aina ya Landrover Jaguar wametengeza gari ambalo linaweza kuhisi mashimo yalio barabarani wakati linapoendeshwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WATOA HUDUMA HII KUWENI MAKINI NA MASHIMO BARABARANI

Dada huyu akipata huduma ya kubebwa kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha. ...Mbebaji na mbebwa wote ndani ya maji baada ya kudondoka.…

 

10 years ago

GPL

GARI KUBWA LAHARIBIKIA BARABARANI

Sehemu ya mzigo ukihamishwa kutoka gari lililoharibika. KAMERA ya GPL imeshuhudia gari kubwa likiwa limeharibika katikati ya barabara maeneo ya Tabata na kusababisha foleni kwa muda  huku askari wa usalama barabarani kwa kushirikiana wadau wakifanya jitihada za kuhamisha mzigo  ya gari hilo ili kutokusababisha foleni. (PICHA: GABRIEL…

 

11 years ago

GPL

DOMIC MAGE: NILIBURUZWA NA GARI BARABARANI NIKIOMBA

Na Makongoro Oging’
HAKIKA Mungu ni wa ajabu sana. Licha ya kwamba Domic Mage alizaliwa akiwa mlemavu, hali iliyomfanya ashindwe kujimudu kimaisha na hivyo kuishia kuwa omba omba, bado aligongwa na gari, lililomburuza urefu wa mita 40 na kumzidishia maumivu makali zaidi ya mwili. Domic Mage akiwa anatafakali jambo. Kwa zaidi ya miaka 10, Domic, mkazi wa kijiji cha Mvuti wilayani Temeke amekuwa barabarani akiomba, licha...

 

10 years ago

Michuzi

KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WAPEWA GARI LA MATANGAZO

Balozi wa Japani nchini, Masaharu Yoshida( katikati) akikata utepe kuzindua gari la maalumu litakalotumika na kikosi cha usalama barabarani katika shughuli za uelimishaji, (kushoto) ni Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani, Naibu kamishina wa Polisi(DCP) Mohamed Mpinga ( kulia )ni Msaidizi wa balozi, Bw Kazioshi. 

 

9 years ago

GPL

GARI LAMWAGA MAFUTA YA MAWESE, LASABAISHA UTELEZI BARABARANI DAR

Vijana wakiondoa mafuta yaliyomwagika barabarani. Mwonekano wa eneo hilo.  Usafishaji wa barabara kwa maji ukiendelea. Mfereji uliojaa mafuta yaliyomwangika.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Barabara za Nigeria : 'Mwanangu wa kiume alikufa kwa ajali ya gari- na sasa ninaongoza magari barabarani'

Mwanamke wa Kinigeria Monica Dongban-Mensem anafanya kampeni ya usalama wa barabarani baada ya mtoto wake wa kiume kufa katika ajali ya barabarani ambapo gari lililomgonga lilitoweka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanasayansi wanasema mashimo hayo ni kiungo muhimu kilichokosekana kuhusu uundaji wa anga

Wanasayansi wanasema kwamba wamepata ushahidi bora zaidi kuhusu mashimo meusi ambayo ni vigumu kuyaona

 

10 years ago

Bongo Movies

Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao

NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani