Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasayansi wanasema mashimo hayo ni kiungo muhimu kilichokosekana kuhusu uundaji wa anga

Wanasayansi wanasema kwamba wamepata ushahidi bora zaidi kuhusu mashimo meusi ambayo ni vigumu kuyaona

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wanasayansi wanasema teknolojia ya mawasiliano ya 5G haina uhusiano na virusi vya corona

Madai yaliyoenea kuwa 5G inauhusiano na virusi vya corona yanasisitizwa na wanasayansi kuwa si ya kweli, kama anavyokuelezea Mwandishi wa BBC Sammy Awami...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wataalamu wanasema nini kuhusu wenye matatizo ya kiafya?

Virusi vya corona vinaweza kumuathiri yeyote,lakini watu wenye matatizo ya kiafya na wazee wanadhaniwa kuwa katika hatari ya kuathirika zaidi na dalili zake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Madai ya wanasayansi kuhusu 5G ni 'upuuzi mtupu'

Madai kuhusu madhara ya 5G katika mfumo wa kinga au kusambaa kwa virusi yamelaaniwa na jamii ya wanasayansi.

 

11 years ago

Michuzi

MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Fadhili Manongi na Mkurugenzi Msaidizi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa China (CAAC)Li Jian wapili kutoka (kulia) wakisaini mkataba wa ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo Ndege zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutua katika Anga ya Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa jijinia Dar es Salaam, utawawezesha Mamlaka hiyo hapa nchini kuweza kujenga kwa wataalam kuweza kudhibiti Ubora wa Ndege hizo...

 

11 years ago

Michuzi

MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA

   Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga  Tanzania (TCAA) Fadhili  Manongi  na  Mkurugenzi Msaidizi wa  Mamlaka ya Usafiri wa  Anga wa China (CAAC)Li Jian  wapili kutoka (kulia) wakisaini mkataba wa  ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo  Ndege zinazotengenezwa nchini China  zitaruhusiwa  kutua katika Anga ya Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa jijinia Dar es Salaam, utawawezesha   Mamlaka hiyo hapa nchini  kuweza  kujenga  kwa wataalam kuweza kudhibiti Ubora wa Ndege...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura

Kuna taarifa kuwa,huenda kukawa na karatasi za kupiga kura feki,sasa sijui hili litasaidia vipi Chama tawala,lakini ni muhimu kukumbushana. Unapoingia kwenye Chumba cha Kura,tafadhali weka kura yako juu kwenye muangaza kuangalia kama kutakua kuna nembo ya […]

The post Tangazo Muhimu kuhusu upigaji kura appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo 20 muhimu kuhusu Kombe la Dunia

1 — Mechi zote za Kombe la Dunia 1930 nchini Uruguay zilichezwa kwenye jiji moja: Montevideo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maelezo muhimu kuhusu Ukatoliki Afrika

Ingawa idadi ya Wakatoliki inapungua maeneo mengine duniani, Afrika waumini wa kanisa hili wanaongezeka na kufikia sasa kuna waumini 200 milioni wa Kanisa Katoliki.

 

11 years ago

GPL

SIRI MUHIMU KUZIJUA KUHUSU WANAWAKE!-2

SI siri. Wanawake wana siri nyingi sana mioyoni mwao na kwa kawaida huwa hawawezi kuonesha hisia zao za ndani moja kwa moja. Ni watu ambao mara nyingi hupenda kuwasilisha vilivyomo ndani yao kwa ishara. Kwa mtindo wa maisha ya wanaume wengi wa sasa ni vigumu kusoma ishara hizo na kujua mahitaji ya mwanamke husika. Bahati mbaya ni kwamba, ukienda kinyume na mahitaji yao, utashangaa kila siku mnaingia kwenye mikwaruzano isiyo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani