Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Wataalamu wanasema nini kuhusu wenye matatizo ya kiafya?

Virusi vya corona vinaweza kumuathiri yeyote,lakini watu wenye matatizo ya kiafya na wazee wanadhaniwa kuwa katika hatari ya kuathirika zaidi na dalili zake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wataalamu wanasema watoto wamegeuzwa 'mashine'

Kutafuta mafanikio ya shule kunafanya shule zikiuke sheria za masuala ya elimu nchini Kenya

 

9 years ago

Global Publishers

Licha ya matatizo yake ya kiafya Penny: shisha siachi

26f29e9cdff937646b22556173b02244Peniel Mungilwa ‘Penny’

Na Imelda Mtema
MTANGAZAJI mwenye jina ambaye pia ni MC, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amedai licha ya matatizo yake ya kiafya, hawezi kuacha kuvuta kilevi aina ya shisha kwani harufu yake inamfanya ajisikie vizuri.

Alitoa kauli hiyo huku kukiwa na madai kuwa amekuwa akitibiwa mara kwa mara maradhi ya pumu na wakati mwingine kulazwa hospitalini, lakini anapopata nafuu huanza tena kuvuta, kitu kinachomuongezea matatizo yanayohatarisha maisha yake.

“Siwezi kupinga kuwa sivuti...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanasayansi wanasema mashimo hayo ni kiungo muhimu kilichokosekana kuhusu uundaji wa anga

Wanasayansi wanasema kwamba wamepata ushahidi bora zaidi kuhusu mashimo meusi ambayo ni vigumu kuyaona

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ushauri wa kiafya ambao ni imani potofu tu

Ushauri wa kutumia kitunguu saumu ili kujikinga na virusi vya corona ni miongoni mwa imani potofu zinazoenea mtandaoni.

 

9 years ago

Vijimambo

Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?


Mbunge sharobaro kutoka Kenya Mike Mbuvi Sonko na Mwenzake Moses Wetang'ula, wamesema wako tayari wakatwe mishahara yao ili serikali iweze kulipa mishahara ya walimu wanayodai.
Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?

 

11 years ago

Habarileo

Dk Bilal: SUZA toeni wataalamu wenye sifa

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib BilalMakamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohamed Gharib Bilali ameutaka uongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa (SUZA), kuhakikisha chuo hicho kinatoa wataalamu wenye sifa na uwezo katika fani mbalimbali, ikiwemo za utafiti.

 

5 years ago

Michuzi

WAGONJWA WENYE MATATIZO YA MOYO WASHAURIWA KUHUDHURIA KLINIKI BILA KUKOSA








Wataalamu wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha Uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimlaza mgonjwa kabla ya kuzibuliwa mshipa mkubwa wa damu ya moyo ambao haukuwa unapitisha damu vizuri. Upasuaji huo wa bila kufungua kifua unafanyika kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization Laboratory) ambapo mgonjwa anatobolewa tundu dogo katika mshipa wa damu ulioko kwenye paja.



Wataalamu wabobezi wa moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong un: Kile tunachojua kuhusu hali ya kiafya ya rais wa Korea Kaskazini

Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba anajua hali ya Kim Joing un, kufuatia madai kuhusu afya ya kiongozi huyo wa Korea Kaskazini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani