Licha ya matatizo yake ya kiafya Penny: shisha siachi
Peniel Mungilwa ‘Penny’
Na Imelda Mtema
MTANGAZAJI mwenye jina ambaye pia ni MC, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amedai licha ya matatizo yake ya kiafya, hawezi kuacha kuvuta kilevi aina ya shisha kwani harufu yake inamfanya ajisikie vizuri.
Alitoa kauli hiyo huku kukiwa na madai kuwa amekuwa akitibiwa mara kwa mara maradhi ya pumu na wakati mwingine kulazwa hospitalini, lakini anapopata nafuu huanza tena kuvuta, kitu kinachomuongezea matatizo yanayohatarisha maisha yake.
“Siwezi kupinga kuwa sivuti...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Coronavirus: Wataalamu wanasema nini kuhusu wenye matatizo ya kiafya?
9 years ago
Mwananchi14 Aug
PIRAMIDI YA AFYA: Kurefusha uume na madhara yake kiafya
11 years ago
GPL06 May
9 years ago
Bongo517 Dec
Nicki Minaj kutumbuiza Angola licha ya wanaharakati kuipinga show yake
![12327969_468705609983531_2040894811_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12327969_468705609983531_2040894811_n-300x194.jpg)
Nicki Minaj atatumbuiza nchini Angola Jumamosi hii licha ya taasisi ya Human Rights Foundation kuipinga show hiyo.
Minaj amethibitisha show hiyo kwenye Instagram.
“ANGOLA! R u ready for the show?!???! Can’t wait to see u guys! Get your tickets here,” ameandika rapper huyo wa YMCMB.
Baadaye rapper huyo aliandika kwenye Twitter:
“Every tongue that rises up against me in judgement shall be condemned.”
Minaj atatumbuiza kwenye party ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel,...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
FIGO: Matatizo yake, tishio kwa maisha ya Watanzania
10 years ago
Vijimambo28 Dec
LICHA YA KUTOKUWA NA MWENENDO MZURI KWENYE TIMU YAKE YA BWAWA LA MAINI KOCHA ASEMA
Balotelli haondoki ng'o, asema kocha
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/05/141205180304_mario_balotelli_racismo_640x360_pa_nocredit.jpg)
Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa hana mipango ya kumuuza mshambuliaji wa kilabu hiyo Mario Baloteli wakati wa dirisha la uhamisho la mwezi Januari.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 na ambaye amefunga mabao mawili katika mechi 15 amehusishwa na uhamisho wa Inter Milan kulingana na gazeti dello Sport.
''Hicho si kitu nilichofikiria kufanya,kusema ukweli'', alisema Rodgers.
''Tumekuwa na mechi...
9 years ago
Bongo523 Dec
Tatizo kubwa la kiafya la Chege lilikaribia kutia doa utengenezaji wa video yake ya Sweety Sweety Afrika Kusini
![CHEGE-NEW](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/CHEGE-NEW-300x194.jpg)
Chege amesimulia changamoto kubwa iliyompata wakati akishoot video ya wimbo wake Sweety Sweety nchini Afrika Kusini na director Justin Campos.
Chege ameiambia Bongo5 kuwa moja ya changamoto kubwa iliyomkuta ni kupata maumivu ya kiuno hali ambayo ilisababisha kusitishwa kwa shughuli hiyo.
“Kuna ile short ya kwanza kabisa nilipata tatizo la maumivu ya kiuno, kilikuwa kinauma sana ikabidi tupumzike na director akanipa dawa,” amesema.
“Lakini nashukuru Mungu baada ya muda fulani kikapoa na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7fSVyjXLzVgxVJ7xR7A3mG-xD5K*c0J0Qi6d6359pykXaVmB9A00IAvJE0Ysd54B6PBc-OwXDuDDuXd5uyvl4ABVom*vCxpm/MLELA11.jpg?width=650)
MLELA: SANAA NGUMU ILA SIACHI
9 years ago
Habarileo19 Sep
Serikali kuchunguza shisha
KATIBU Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Donan Mmbando ameitaka ofisi ya mkemia mkuu kuchunguza kilevi aina ya shisha.