Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAFUNZI WA CHEKECHEA TUNDURU WASOMEA CHINI YA MTI

Wanafunzi wakiendelea na masomo wakiwa na mwalimu wao. WANAFUNZI wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Nakayaya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum kwa ajili ya kusomea wanafunzi hao. Hali hiyo imebainika baada ya mwandishi wa habari hizi kuitembelea shule hiyo hivi karibuni na kuwakuta wanafunzi wakiwa wamekaa chini huku wakiendelea na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi Tunduru wasomea chini ya Mti

WANAFUNZI wa darasa la awali shule ya Msingi Nakayaya wilayani hapa mkoani Ruvuma, wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum. Hali hiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

Wanafunzi wasomea chini ya mti

Wanafunzi wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Nakayaya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wakiwa wamekaa chini na mwalimu wao pembeni kuonesha sehemu ambayo hutumika kama darasa wawapo masomoni.Tunduru

WANAFUNZI wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Nakayaya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum kwa ajili ya kusomea wanafunzi hao.

Hali hiyo imebainika baada ya mwandishi wa habari hizi kuitembelea shule...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi darasa la kwanza hadi la saba wasomea madarasa matatu

Shule nyingi za msingi katika Manispaa ya Morogoro zinakabiliwa na changamoto mbalimbali, lakini kwa Shule ya Msingi Ujirani Mwema, changamoto hizo zimezidi kipimo.

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto aliyeibwa apatikana chini ya mti

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma,David Misime.Mtoto aliyeibwa akiwa na umri wa siku nane baada ya mama yake, Teddy Bishaliza (19), kunyweshwa juisi iliyosadikiwa kutiwa dawa za kulevya akiwa nyumbani kwake eneo la Pembe ya Ng'ombe mtaa wa Chidachi, Manispaa ya Dodoma, amepatikana akiwa hai chini ya mti.

Mtoto huyo aliibwa usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita na kupatikana Ijumaa ambayo gazeti hili liliandika habari za kuibwa kwake.

Baada ya taarifa za kupotea mtoto huyo wa kike ambaye hadi...

 

10 years ago

Habarileo

Mwandosya akusanya wadhamini chini ya mti

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark MwandosyaMGOMBEA anayewania kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya chama kwenye uchaguzi mkuu ujao, Profesa Mark Mwandosya amewataka wadhamini wake kutosikitika pale wanaposikia akibezwa kwa sababu amedhaminiwa na wanaCCM 30 waliowekwa kwa mujibu wa taratibu za chama.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge ataka kufahamu mafanikio ya ‘Kata Mti Panda Mti

Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Ummy MwalimuTANGU kampeni ya upandaji miti ya ‘Kata Mti Panda Mti’ ianzishwe mwaka 1998, idadi ya miti 1,864,452,063 imepandwa kote nchini, Bunge limefahamishwa.

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) na balozi mdogo wa Japan nchini Kazuyoshi Matsunaga (wa tatu kushoto) wakishirikiana kukata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Tunduru-Mangaka Matemanga mradi unaojengwa na Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano wa serikali ya Japan kupitia shirika lake la kimataifa la maendeleo JICA.Wengine pichani toka kushoto ni ni Mbunge wa Nanyumbu Dunstan Mkapa,Mkuu wa Mkoa wa Mtwara,Kapten Mstaafu Joseph Simbakalia,Waziri wa ujenzi Dkt. John...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi walala chini Geita

MBUNGE wa Busanda mkoani Geita, Lolensia Bukwiba amemwaga machozi baada ya kukuta wanafunzi wa kike zaidi 25 wa shule ya Sekondari Nyakamwaga wakilala chini kwa kukosa vitanda. Hali hiyo ilijitokeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani