Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge ataka kufahamu mafanikio ya ‘Kata Mti Panda Mti

Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Ummy MwalimuTANGU kampeni ya upandaji miti ya ‘Kata Mti Panda Mti’ ianzishwe mwaka 1998, idadi ya miti 1,864,452,063 imepandwa kote nchini, Bunge limefahamishwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Wanafunzi wasomea chini ya mti

Wanafunzi wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Nakayaya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wakiwa wamekaa chini na mwalimu wao pembeni kuonesha sehemu ambayo hutumika kama darasa wawapo masomoni.Tunduru

WANAFUNZI wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Nakayaya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum kwa ajili ya kusomea wanafunzi hao.

Hali hiyo imebainika baada ya mwandishi wa habari hizi kuitembelea shule...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mti wa Ebola nchini Guinea

Kuna mti unaodaiwa kusababisha mlipuko wa Ebola nchini Guinea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mti waua mama, mtoto

MAMA mjamzito, Sara Leonard (22) na mtoto wake, Christina Salum (4) , wakazi wa Kijiji cha Mgusu, wilayani Geita  wamefariki dunia  baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kudondokewa na mti. Tukio...

 

11 years ago

Habarileo

Kijana ajinyonga kwenye mti

WATU watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini hapa akiwamo mkazi wa Handeni, Tanga, Athanas Dominic (40) aliyekutwa amejinyonga kwenye mti.

 

11 years ago

Mwananchi

Kila tukio la kitaifa hupanda mti

Unaposikia kitu cha maajabu lazima ushtuke kidogo, kisha ndio ufuatilie kwa ukaribu kujua nini hasa kilichoko kwenye maajabu hayo; hivyo ndivyo utakavyoona kwa mzee mbunifu wa kijiji cha Choka wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma.

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto aliyeibwa apatikana chini ya mti

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma,David Misime.Mtoto aliyeibwa akiwa na umri wa siku nane baada ya mama yake, Teddy Bishaliza (19), kunyweshwa juisi iliyosadikiwa kutiwa dawa za kulevya akiwa nyumbani kwake eneo la Pembe ya Ng'ombe mtaa wa Chidachi, Manispaa ya Dodoma, amepatikana akiwa hai chini ya mti.

Mtoto huyo aliibwa usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita na kupatikana Ijumaa ambayo gazeti hili liliandika habari za kuibwa kwake.

Baada ya taarifa za kupotea mtoto huyo wa kike ambaye hadi...

 

9 years ago

BBCSwahili

'Mti wa wageni' uwanja wa ndege wa kismayu

Iwapo umezoea kuwasili katika maeneo yaliotengewa wageni wanaowasili katika viwanja vya ndege vya kimataifa ,basi pengine ungetembea kusini mwa Somalia katika mji wa Kismayu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi Tunduru wasomea chini ya Mti

WANAFUNZI wa darasa la awali shule ya Msingi Nakayaya wilayani hapa mkoani Ruvuma, wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum. Hali hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani