Kijana ajinyonga kwenye mti
WATU watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini hapa akiwamo mkazi wa Handeni, Tanga, Athanas Dominic (40) aliyekutwa amejinyonga kwenye mti.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV25 Nov
Kijana wa Kagondo Bukoba ajinyonga baada ya kutoka hospitalini
Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Nelson Laurent mwenye umri wa miaka 34 mkazi wa kata ya Kagondo Manispaaa ya Bukoba mkoani Kagera amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ndani ya nyumba yake.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kijana huyo ambaye alichukua maamuzi hayo leo majira ya asubuhi mara baada ya kupata chai pamoja na ndugu zake nyumbani kwa baba yake mzazi aliaga kuwa anaenda kubadilisha nguo ili akachukue dawa kwa bibi yake.
vilio na simanzi vilitawala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pNZpvu9j9sU/XvNT3Su5TVI/AAAAAAALvRI/dMnO9zpbKmEm76lEcrLAJ94LFvjTBtSUgCLcBGAsYHQ/s72-c/SHUKA.png)
Njombe:Kijana ajinyonga kwa kutumia shuka ndani ya Nyumba
Kijana anayefahamika kwa jina la Chesco Mtega mwenye umri wa miaka 19 mkazi wa kitongoji cha Kanisa A Kijiji cha Ludewa,wilayani Ludewa mkoani Njombe amegundulika amejinyonga kwa kutumia shuka lililofungwa juu ya kenchi na shingoni mwake ndani ya nyumba,huku sababu zikitajwa ni kutokana na msongo wa mawazo (SONONA)
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mkuu wa Wilaya ya Ludewa ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani humo Mh,...
10 years ago
Habarileo26 Nov
Mbunge ataka kufahamu mafanikio ya ‘Kata Mti Panda Mti
TANGU kampeni ya upandaji miti ya ‘Kata Mti Panda Mti’ ianzishwe mwaka 1998, idadi ya miti 1,864,452,063 imepandwa kote nchini, Bunge limefahamishwa.
11 years ago
Habarileo11 Apr
Gari lasombwa na mafuriko dereva ajiokoa kwenye mti
DEREVA wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, (NCAA), Juma Moshi, amenusurika kufa maji baada ya gari alilokuwa akiliendesha kusombwa na mafuriko ya maji katika mto Malera, nje kidogo ya mji wa Karatu na yeye mwenyewe kupanda juu ya mti.
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Ghadhabu Afrika kusini baada ya mwili wa mwanamke kupatikana ukining'inia kwenye mti
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuq-4t*Nt2L4ECX2bCLU3Bf3g6-y-pJK08-Tt4HnekFM9hdhWDaEhIrtiJcKDgCTwj9N5l4TVt63tQB3pY0CAxGS/MAAJABU.jpg)
KIJANA AJITOKEZA KWENYEZA KWENYE MAZISHI YAKE
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Mti waua mama, mtoto
MAMA mjamzito, Sara Leonard (22) na mtoto wake, Christina Salum (4) , wakazi wa Kijiji cha Mgusu, wilayani Geita wamefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kudondokewa na mti. Tukio...