Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijana ajinyonga kwenye mti

WATU watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini hapa akiwamo mkazi wa Handeni, Tanga, Athanas Dominic (40) aliyekutwa amejinyonga kwenye mti.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Kijana wa Kagondo Bukoba ajinyonga baada ya kutoka hospitalini

Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Nelson Laurent mwenye umri wa miaka 34 mkazi wa kata ya Kagondo Manispaaa ya Bukoba mkoani Kagera amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ndani ya nyumba yake.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kijana huyo ambaye alichukua maamuzi hayo leo majira ya asubuhi mara baada ya kupata chai pamoja na  ndugu zake nyumbani kwa baba yake mzazi aliaga kuwa anaenda kubadilisha nguo ili akachukue dawa kwa bibi yake.

vilio na simanzi vilitawala...

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Kijana ajinyonga kwa kutumia shuka ndani ya Nyumba

Na Amiri kilagalila,Njombe
Kijana anayefahamika kwa jina la Chesco Mtega mwenye umri wa miaka 19 mkazi wa kitongoji cha Kanisa A Kijiji cha Ludewa,wilayani Ludewa mkoani Njombe amegundulika amejinyonga kwa kutumia shuka lililofungwa juu ya kenchi na shingoni mwake ndani ya nyumba,huku sababu zikitajwa ni kutokana na msongo wa mawazo (SONONA)
Akizungumza na waandishi wa habari  ofisini kwake mkuu wa Wilaya ya Ludewa ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani humo Mh,...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge ataka kufahamu mafanikio ya ‘Kata Mti Panda Mti

Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Ummy MwalimuTANGU kampeni ya upandaji miti ya ‘Kata Mti Panda Mti’ ianzishwe mwaka 1998, idadi ya miti 1,864,452,063 imepandwa kote nchini, Bunge limefahamishwa.

 

11 years ago

Habarileo

Gari lasombwa na mafuriko dereva ajiokoa kwenye mti

DEREVA wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, (NCAA), Juma Moshi, amenusurika kufa maji baada ya gari alilokuwa akiliendesha kusombwa na mafuriko ya maji katika mto Malera, nje kidogo ya mji wa Karatu na yeye mwenyewe kupanda juu ya mti.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ghadhabu Afrika kusini baada ya mwili wa mwanamke kupatikana ukining'inia kwenye mti

Tshegofatso Pule alitoweka kwa siku nne kabla ya mwili wake kupatikana.

 

10 years ago

GPL

KIJANA AJITOKEZA KWENYEZA KWENYE MAZISHI YAKE

Stori: Makongoro Oging’
DA! Duniani kuna mambo jamani! Katika hali isiyo ya kawaida, maeneo ya Tandale Kwatumbo jijini Dar, waombolezaji hawakuamini macho yao wakati walipomuona ‘marehemu’ Mohamed Salum ‘Fido’ (29) (pichani), akirejea nyumbani hapo huku maandalizi ya mazishi yake yakipamba moto na waombolezaji, hasa mkewe, mtoto na ndugu wakilia kwa uchungu kufuatia ‘kifo’ chake. ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mti waua mama, mtoto

MAMA mjamzito, Sara Leonard (22) na mtoto wake, Christina Salum (4) , wakazi wa Kijiji cha Mgusu, wilayani Geita  wamefariki dunia  baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kudondokewa na mti. Tukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani