Gari lasombwa na mafuriko dereva ajiokoa kwenye mti
DEREVA wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, (NCAA), Juma Moshi, amenusurika kufa maji baada ya gari alilokuwa akiliendesha kusombwa na mafuriko ya maji katika mto Malera, nje kidogo ya mji wa Karatu na yeye mwenyewe kupanda juu ya mti.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Mar
DARAJA LASOMBWA NA MAFURIKO MKOANI RUVUMA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
9 years ago
Habarileo29 Dec
Gari lasombwa maji na kuua mjamzito
WATU watatu wamekufa akiwamo mjamzito na mtoto wa miezi miwili na abiria wengine sita wamenusurika kufa baada ya gari dogo aina ya Toyota walilokuwamo kusombwa na maji katika Mto Kilambwa, wilayani Sumbawanga.
11 years ago
Habarileo17 Jan
Gari lamshinda dereva, lamuua
DEREVA wa lori, Said Bakari amekufa papo hapo na utingo wake kujeruhiwa vibaya baada ya gari alilokuwa akiendesha kumshinda na kuacha njia na kisha kupinduka.
11 years ago
MichuziDEREVA AJERUHIWA NA KUPORWA GARI LA MAFUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-uZt9kHQIoaw/U4C4HN15zmI/AAAAAAAFkxc/rJWawTU-XEU/s1600/aporwa+gari2+(2).jpg)
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Aokoa dereva kwa kukunja mlango wa gari
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND0cmacKRHmmAyWrvced7lmawpDluvekoMcOVxxEZl5bopGTPxjfIhh9lskp-X75UXoMla8GUC*L3XAF-ojVnXg*/UTINGO.jpg)
DEREVA, UTINGO WADAIWA KUCHOMA MOTO GARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXHd3jkuJyILN-6lhzH-MrUq3WjzN6BKpDfQUQFTgmRo9RSxoaYACLEuMF7EXym0lbRca1HXB54J*S1yKnbxkiK3/unnamed100.jpg?width=650)
GARI LAPINDUKA WAKATI DEREVA AKIWAKIMBIA ASKARI POLISI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRASpw4h96jXJiVAdBwIB8jQ8ydX*qqWHCW7xTlpYbD2lUAlX*LTC2FHRNaeGAH51FzotJwgUy7ZHaKRyhLdSHQo1/ajali1.jpg?width=650)
BODABODA YAGONGANA NA GARI, DEREVA AVUNJIKA MGUU MORO