254 wa darasa la 7 mkoa wa Arusha hawajui kusoma
WILAYA ya Ngorongoro inaongoza kwa kuwa na wanafunzi 124 waliomaliza darasa la saba mwaka huu bila ya kujua kusoma, kuandika na kuhesabu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Wahitimu 344 darasa la saba hawajui kusoma wala kuandika
11 years ago
Tanzania Daima11 May
‘Mabalozi wa nyumba 10 hawajui kusoma’
IMEELEZWA kuwa mabalozi wa nyumba 10 wanaochaguliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawajui kusoma wala kuandika hali inayorudisha nyuma maendeleo ya eneo husika. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, mjini Dodoma...
10 years ago
Habarileo24 Mar
22.4% Tanzania bara na 15.8% Z’bar hawajui kusoma
KWA mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, takwimu zinaonesha kuwa watu wazima wenye umri wa kuanzia miaka 15 na kuendelea wasiojua kusoma na kuandika ni asilimia 22.4 Tanzania bara na asilimia 15.8 Zanzibar.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Wanafunzi 9,000 Karagwe hawajui kusoma
ZAIDI ya wanafunzi 9,000 wilayani Karagwe hawajui kusoma, kuandika na kuhesabu. Hali hiyo imebainika kutokana na utafiti uliofanywa na halmashauri ya wilaya hiyo mwaka jana. Ofisa Elimu Shule za Msingi,...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watanzania milioni 14 hawajui kusoma, kuandika?
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Wanafunzi 430 hawajui kusoma wala kuandika
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Watoto wengi hawajui kusoma kuandika — Utafiti
ASILIMIA 61 ya watoto walio na umri wa chini ya miaka tisa hawawezi kusoma Kiswahili, Kiingereza na kufanya hesabu za kuzidisha huku wanafunzi wa shule binafsi wakionekana kufanya vizuri katika...
10 years ago
Habarileo16 Apr
Wasiojua kusoma,kuandika kutoenda darasa la tatu.
KATIKA kuhakikisha inaondoa kabisa tatizo la watu wasiojua kusoma na kuandika nchini, Serikali imefanya mabadiliko ambapo kuanzia sasa mtoto wa darasa la pili hawezi kuruhusiwa kuingia darasa la tatu kama hajui kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuondoa tatizo la watoto wanaomaliza shule ya msingi wakiwa hawajui kusoma.
10 years ago
MichuziWASICHANA WAHAMASISHWA KUSOMA MASOMO YA SAYANSI NA UFUNDI ARUSHA