Maambukizi ya Ukimwi yatishia uhai wa watoto
>Maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yameelezwa kuwa tishio na asilimia 50 ya watoto wanaozaliwa na virusi vya ugonjwa huo hupoteza maisha ndani ya miaka miwili tangu kuzaliwa wasipopatiwa dawa za kupunguza makali ya virusi (ARV).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Sheria ya 2009 wanyamapori yatishia uhai wa hifadhi
11 years ago
Habarileo10 Jun
Kiwango cha maambukizi ya Ukimwi Rukwa chapanda
VIFO vinavyotokana na Ukimwi nchini vimepungua kwa asilimia 30 kutokana na upatikanaji na matumizi ya dawa za kufubaza virusi vya ugonjwa huo za ARVs.
11 years ago
MichuziMAAMBUKIZI YA UKIMWI NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 33
Na Rose Masaka na Lorietha Laurence-MAELEZO
TANZANIA ni miongoni mwa Nchi ambazo zimeweza kupunguza maambuzi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa asilimia 33.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. William Lukuvi wakati akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Mkutano wa 20 wa Kimataifa wa Ukimwi Duniani uliofanyika Melbourne nchini Australia Julai mwaka huu.
Amesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya Serikali kuanza zoezi la kuzuia maambukizi kutoka kwa mama...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
SERIKALI KUDHIBITI UGONJWA WA UKIMWI KUFIKIA MAAMBUKIZI SIFURI
10 years ago
Michuzi12 Nov
Serikali kudhibiti ukimwi hadi kufikia maambukizi sifuri
Serikali imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi yanapungua hadi kufikia sifuri ifikapo mwaka 2025.
Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti mtendaji kutoka Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Dkt. Fatma H. Mrisho wakati wa mkutano wa serikali na wadau wa ukimwi kupitia utekelezaji wa programu za ukimwi jana jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa mkutano huo...
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
TACAIDS yakiri kupungua kwa maambukizi ya UKIMWI nchini
Afisa Mawasiliano Kutoka TACAIDS Bw. Godlease Malisa akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika banda la TACAIDS kwenye viwanja vya Sabasaba jana Jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Dr. Jerome Kamwela.
Na: Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikali – WHVUM
Tafiti zilizofanywa na Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania zinaonyesha kuwa maambukizi mapya ya...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Mafungu ya Ukimwi yazidi kushuka, maambukizi mapya yashika kasi
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA MANISPAA YA ILALA WAFUNDWA JUU YA MAAMBUKIZI YA VVU,NA UKIMWI
9 years ago
MichuziASILIMIA 75 YA WANAWAKE HUKUTWA WAKIWA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI
IMEELEZWA kuwa chanzo...