TACAIDS yadai mastaa wapo kwenye hatari zaidi ya kuathirika na virusi vya Ukimwi (Video)
Wakati dunia leo inaadhimisha siku ya Ukimwi duniani, December 1, Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini, (TACAIDS) imesema watu maarufu wakiwemo wasanii ni watu walio kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi kutokana na ushawishi wao na hivyo wanatakiwa kupewa elimu.
Mwenyekiti wa TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho
Akizungumza na taasisi ya Global Shapers Community Dar es Salaam, Mwenyekiti TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho, alisema ushawishi wa wasanii hao unawafanya watamaniwe na watu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nhzT5SPRU28/VFYhV6iSNOI/AAAAAAAGvFM/JEdw6Dyka1Q/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
JUMLA YA WASICHANA 6,000 MKOANI MTWARA WAPO KATIKA NAFASI NZURI YA KUJIKINGA NA MIMBA NA VIRUSI VYA UKIMWI
![](http://1.bp.blogspot.com/-nhzT5SPRU28/VFYhV6iSNOI/AAAAAAAGvFM/JEdw6Dyka1Q/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
Akiongea na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Meneja uhusiano na mawasiliano wa T-MARC Tanzania Maurice Chirimi alisema mafanikio hayo yametokana na mradi unaojulikiana kama ‘Hakuna Wasichoweza’ unaotekelezwa na T-MARC kwa ufadhili wa Shirika la Misaada la Marekani...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Jumla ya wasichana 6,000 Mkoani Mtwara wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba pamoja na virusi vya Ukimwi
Na Mwandsihi Wetu
Zaidi ya jumla ya wasichana 5,784 mkoani Mtwara walio kwenye umri wa balehe sasa wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba za umri mdogo zinazowasababishia kuacha shule pamoja na kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi
Akiongea na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Meneja uhusiano na mawasiliano wa T-MARC Tanzania Maurice Chirimi alisema mafanikio hayo yametokana na mradi unaojulikiana kama ‘Hakuna Wasichoweza’ unaotekelezwa na T-MARC kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g4JJeOHCUtbjbl8WVUWZ4DmxmD8nXYKRXknEBCwCO7vVVdGOUCorocaS5BE5qLfACSIULMnNi7pm71CvS80SCVI/002.Tanzania.jpg)
JUMLA YA WASICHANA 6,000 MKOANI MTWARA WAPO KATIKA NAFASI NZURI YA KUJIKINGA NA MIMBA NA VIRUSI VYA UKIMWI
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya corona: Wimbi la pili la maambukizi Marekani 'huenda likawa hatari zaidi'
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Je miale ya jua inauwa virusi hivi hatari?
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Je wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?
5 years ago
CCM Blog19 Mar
WATU 27 WALIOCHUKULIWA SAMPULI VIRUSI VYA CORONA WAPO SALAMA
![Watu 27 waliochukuliwa sampuli ya vipimo vya Corona Tanzania, wako salama](https://media.parstoday.com/image/4bv74cc8c616271mcir_800C450.jpg)
Watu 27 ambao waliliochukuliwa sampuli za vipimo vyao vya afya ili kuwachunguza iwapo wameambukizwa virusi vya Corona Covid-19, wapo salama.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha ufuatiliaji wa magonjwa ya mlipuko katika Wizara ya Afya, Dk Janeth Mghamba akiwa na mtaalam wa majanga wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Faraja Msemwa. Wakizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha, maafisa hao wa Wizara ya Afya nchini Tanzania, wamesema watu hao 27 walichukuliwa sampuli baada...
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku