Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JUMLA YA WASICHANA 6,000 MKOANI MTWARA WAPO KATIKA NAFASI NZURI YA KUJIKINGA NA MIMBA NA VIRUSI VYA UKIMWI

Jumla ya wasichana 6,000 mkoani Mtwara walio kwenye umri wa balehe sasa wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba za umri mdogo zinazowasababishia kuacha shule pamoja na kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.    
Akiongea na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Meneja uhusiano na mawasiliano wa T-MARC Tanzania Maurice Chirimi alisema mafanikio hayo yametokana na mradi unaojulikiana kama ‘Hakuna Wasichoweza’ unaotekelezwa na T-MARC kwa ufadhili wa Shirika la Misaada la Marekani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Jumla ya wasichana 6,000 Mkoani Mtwara wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba pamoja na virusi vya Ukimwi

001.Tanzania

Na Mwandsihi Wetu

Zaidi ya jumla ya wasichana 5,784 mkoani Mtwara walio kwenye umri wa balehe sasa wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba za umri mdogo zinazowasababishia kuacha shule pamoja na kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi                     

Akiongea na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Meneja uhusiano na mawasiliano wa T-MARC Tanzania Maurice Chirimi alisema mafanikio hayo yametokana na mradi unaojulikiana kama ‘Hakuna Wasichoweza’ unaotekelezwa na T-MARC kwa...

 

10 years ago

GPL

JUMLA YA WASICHANA 6,000 MKOANI MTWARA WAPO KATIKA NAFASI NZURI YA KUJIKINGA NA MIMBA NA VIRUSI VYA UKIMWI‏

Baadhi ya wanafunzi wa kike wakipata semina kutoka  T-MARC kwa ufadhili wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID). Wanafunzi wa kike wakiwa wenye furaha baada ya semina T-MARC kwa ufadhili wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID).…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wasichana Mtwara wasaidiwa kujikinga na mimba, ukimwi

WASICHANA 6,000 walio kwenye umri wa balehe mkoani Mtwara, sasa wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba za umri mdogo zinazowasababishia kuacha shule pamoja na kujikinga na maambukizi ya...

 

9 years ago

Bongo5

TACAIDS yadai mastaa wapo kwenye hatari zaidi ya kuathirika na virusi vya Ukimwi (Video)

Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho

Wakati dunia leo inaadhimisha siku ya Ukimwi duniani, December 1, Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini, (TACAIDS) imesema watu maarufu wakiwemo wasanii ni watu walio kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi kutokana na ushawishi wao na hivyo wanatakiwa kupewa elimu.

Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho
Mwenyekiti wa TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho

Akizungumza na taasisi ya Global Shapers Community Dar es Salaam, Mwenyekiti TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho, alisema ushawishi wa wasanii hao unawafanya watamaniwe na watu...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI

 Dkt. Grarvin Kweka wa Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili akionesha namna ya kutumia vitakasa mikono kwa wafanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) juu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona (Covid 19) wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na kufanyika katika ofisi za Bodi hiyo Jijini Dar es Salaam.
Dkt. Grarvin Kweka wa Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili akitoa mada ya namna ya kujikinga na virusi vya Corona kwa  wafanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) juu ya kujikinga na...

 

5 years ago

CCM Blog

BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA MBALIMBALI VYA KUJIKINGA NA JANGA LA CORONA MKOANI MTWARA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Alphayo Kidata (kushoto) akipokea vifaa mbalimbali kwa ajili ya kujikinga dhidi ya janga la Corona kutoka kwa Kaimu Meneja wa tawi la NMB Mtwara Rosemary Moshi, ikiwa ni sehemu ya misaada inayotolewa na benki hiyo nchi nzima.

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana — Mama Kikwete

IMG_1997

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa Sandton International Center uliofanyika mkutano wa wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza muda wake Mama Hinda Derby Itno.(PICHA NA JOHN LUKUWI).

Na Anna Nkinda – Johannesburg, Afrika ya Kusini

Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea  miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata...

 

5 years ago

Michuzi

WILAYA YA MANYONI MKOANI SINGIDA WAPELEKEWA ELIMU KUJIKINGA VIRUSI VYA COVID-19


 Afisa wa Shirika la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Singida , Witness Anderson akionesha namna ya kunawa kwa usahihi kwa wananchi waliokuwa Stendi ya Mabasi ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida juzi, wakati wa kampeni ya utoaji elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Corona iliyofanywa na shirika hilo kwa kushirikiana na Shirika la Empower Youth Prosperity  ( EYP) ya mkoani Mbeya kwa ufadhili wa Shirika la Stromme East Africa Foundation lenye Makao Makuu Kampala nchini  Uganda...

 

10 years ago

Michuzi

Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana - Mama Salma Kikwete

Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea  miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana  huku asilimia 15 ya vijana wote  ndiyo wanaotambua hadhi yao ya VVU na hivyo kusababisha  tatizo hilo kuendelea kuwa  kubwa.Hayo yamesemwa leo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwenye mkutano wa 15 wa Umoja wa wake wa Marais wa Afrika wa Kupambana na Ugonjwa wa Ukimwi (OAFLA) uliofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo Sandton Convention Centre mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani