Wasichana Mtwara wasaidiwa kujikinga na mimba, ukimwi
WASICHANA 6,000 walio kwenye umri wa balehe mkoani Mtwara, sasa wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba za umri mdogo zinazowasababishia kuacha shule pamoja na kujikinga na maambukizi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nhzT5SPRU28/VFYhV6iSNOI/AAAAAAAGvFM/JEdw6Dyka1Q/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
JUMLA YA WASICHANA 6,000 MKOANI MTWARA WAPO KATIKA NAFASI NZURI YA KUJIKINGA NA MIMBA NA VIRUSI VYA UKIMWI
![](http://1.bp.blogspot.com/-nhzT5SPRU28/VFYhV6iSNOI/AAAAAAAGvFM/JEdw6Dyka1Q/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
Akiongea na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Meneja uhusiano na mawasiliano wa T-MARC Tanzania Maurice Chirimi alisema mafanikio hayo yametokana na mradi unaojulikiana kama ‘Hakuna Wasichoweza’ unaotekelezwa na T-MARC kwa ufadhili wa Shirika la Misaada la Marekani...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Jumla ya wasichana 6,000 Mkoani Mtwara wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba pamoja na virusi vya Ukimwi
Na Mwandsihi Wetu
Zaidi ya jumla ya wasichana 5,784 mkoani Mtwara walio kwenye umri wa balehe sasa wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba za umri mdogo zinazowasababishia kuacha shule pamoja na kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi
Akiongea na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Meneja uhusiano na mawasiliano wa T-MARC Tanzania Maurice Chirimi alisema mafanikio hayo yametokana na mradi unaojulikiana kama ‘Hakuna Wasichoweza’ unaotekelezwa na T-MARC kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g4JJeOHCUtbjbl8WVUWZ4DmxmD8nXYKRXknEBCwCO7vVVdGOUCorocaS5BE5qLfACSIULMnNi7pm71CvS80SCVI/002.Tanzania.jpg)
JUMLA YA WASICHANA 6,000 MKOANI MTWARA WAPO KATIKA NAFASI NZURI YA KUJIKINGA NA MIMBA NA VIRUSI VYA UKIMWI
11 years ago
Habarileo25 Dec
Wasichana 98 wapata mimba utotoni
ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Mimba mashuleni zaathiri wasichana DRC
5 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Wasichana 35 wafukuzwa shule kwa mimba, utoro
BODI ya Shule ya Sekondari Munkinya, Kata ya Dung’unyi wilayani Ikungi, Singida imewafukuza shule wanafunzi 35 kwa sababu za utoro, mimba na ukosefu wa nidhamu. Mkuu wa Shule hiyo, Joseph...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Wasichana 700 wapata mimba, waacha shule
11 years ago
Habarileo03 May
Mradi wanufaisha maelfu ya wasichana Mtwara
WASICHANA wa mkoani Mtwara wamefaidika na elimu ya afya na vifaa, vitakavyowasaidia kujisitiri wakati wa hedhi. Elimu hii na msaada vimetolewa kupitia mradi wa Hakuna Wasichoweza, unaotekelezwa na asasi ya T-MARC Tanzania.