Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bodi TPA yatoa kali ya mwaka

BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamaizi wa Bandari Tanzania (TPA), imemtaka Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kusitisha mchakato wa kumpata mtendaji mkuu kutoka nje na badala yake imwache...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Magufuli aivunja bodi ya bandari, TPA

Magufuli

Rais Dkt John Magufuli ameivunja bodi ya mamlaka ya bandari, TPA.

Magufuli

Uamuzi huo umetangazwa Jumatatu hii na waziri mkuu, Kassim Majaliwa.

Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Majaliwa amesema Dkt Magufuli ametengua uteuzi wa mwenyekiti wa bodi ya bandari, Profesa Joseph Msambichaka na Mkurugenzi wa bandari, Awadh Massawe.

Pamoja na hivyo rais pia ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa wizara ya uchukuzi, Dkt Shaban Mwinjaka atakayepangiwa kazi nyingine.

Hatua hiyo imekuja baada...

 

9 years ago

Mwananchi

Balaa jingine lamkumba mjumbe wa bodi TPA

Siku chache baada ya Rais John Magufuli kuvunja Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) kwa tuhuma za kushindwa kusimamia ipasayo shughuli za taasisi hiyo, mmoja wa wajumbe wake, Donata Mgassa amevuliwa uongozi wa kitengo cha manunuzi cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ......: RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI, AVUNJA BODI YA MAMLAKA YA BANDARI (TPA) LEO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amevunja bodi ya Mamlaka ya Bandari nchini (TPA) pamoja na kutengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka, Mwenyekiti wa Bodi ya Bandari Profesa Joseph Msambichaka pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Bandari, Awadh Massawe.
Kuvunjwa kwa bodi hiyo kunatokana na utendaji mbovu wa Mamlaka hiyo kwa muda mrefu na kitendo cha kutokuchukua hatua katika vyanzo husika.
Akizungumza  na waandishi wa Habari  Ofisini...

 

10 years ago

Dewji Blog

TPA yatoa shilingi milioni mbili kusaidia wanahabari wanaopambana na ujangili nchini

2

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Awadh Massawe akizungumza na wanahabari wakati akikabidhi hundi ya sh.milioni mbili kwa Taasisi ya Habari Development Association Dar es Salaam jana asubuhi.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Awadh Massawe (kushoto), akikabidhi mfano wa hundi ya sh.milioni mbili kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Habari Development Association (HDA), Kunze Mswanyama (kulia), Dar es Salaam jana...

 

11 years ago

Dewji Blog

TPA yatoa msaada wa Madawati 110 shule ya msingi Mahumbika mkoani Lindi

Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) akikabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini.

port

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) na Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) wakiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mahumbika wakati wa kukabidhi msaada wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yatoa onyo kali Kalenga

JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limepiga marufuku wananchi kuhudhuria mikutano ya kampeni wakiwa na marungu na mapanga, hasa wakati huu wa kampeni za kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga....

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM kata ya Majengo yatoa kauli kali

SAM_0033

Mwenyekiti wa CCM kata ya Itigi Majengo,wilaya ya Manyoni, Mkoani Singida, Bwana Haroub Suleim akiwahutubia wananchi wa mji mdogowa Itigi na vitongoji vyake wakati wa kuwanadi wagombea wa ubunge na udiwani wa jimbo la Manyoni magharibi uliofanyika Itigi mjini.

SAM_0055

Mgombea wa ubunge mteule wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare akiomba kura kwa wanachma pamoja na wananchi kwa ujumla wa jimbo la Manyoni magharibi kwenye mkutano uliofanyika mji mdogo wa Itigi, wilayani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani