Balaa jingine lamkumba mjumbe wa bodi TPA
Siku chache baada ya Rais John Magufuli kuvunja Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) kwa tuhuma za kushindwa kusimamia ipasayo shughuli za taasisi hiyo, mmoja wa wajumbe wake, Donata Mgassa amevuliwa uongozi wa kitengo cha manunuzi cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Dec
Magufuli aivunja bodi ya bandari, TPA
![Magufuli](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Magufuli-300x194.jpg)
Rais Dkt John Magufuli ameivunja bodi ya mamlaka ya bandari, TPA.
Uamuzi huo umetangazwa Jumatatu hii na waziri mkuu, Kassim Majaliwa.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Majaliwa amesema Dkt Magufuli ametengua uteuzi wa mwenyekiti wa bodi ya bandari, Profesa Joseph Msambichaka na Mkurugenzi wa bandari, Awadh Massawe.
Pamoja na hivyo rais pia ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa wizara ya uchukuzi, Dkt Shaban Mwinjaka atakayepangiwa kazi nyingine.
Hatua hiyo imekuja baada...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Bodi TPA yatoa kali ya mwaka
BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamaizi wa Bandari Tanzania (TPA), imemtaka Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kusitisha mchakato wa kumpata mtendaji mkuu kutoka nje na badala yake imwache...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5aA0qqJgNF0/UvB6r9oA4XI/AAAAAAAFKvU/k1YmCnU8MqA/s72-c/unnamed.png)
TANZANIA MJUMBE WA BODI TENDAJI UNDP, UNFPA NA UNOPS
![](http://1.bp.blogspot.com/-5aA0qqJgNF0/UvB6r9oA4XI/AAAAAAAFKvU/k1YmCnU8MqA/s1600/unnamed.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1uEhVZ5OBzg/UvB6uaeCY_I/AAAAAAAFKvg/DWS5yr8UB70/s1600/unnamed+(55).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tReSAQ3afuk/VW4JwfBtX1I/AAAAAAAHbgE/uRYbBz1gZPM/s72-c/IMG-20150602-WA0105.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tReSAQ3afuk/VW4JwfBtX1I/AAAAAAAHbgE/uRYbBz1gZPM/s72-c/IMG-20150602-WA0105.jpg)
9 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ......: RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI, AVUNJA BODI YA MAMLAKA YA BANDARI (TPA) LEO
Kuvunjwa kwa bodi hiyo kunatokana na utendaji mbovu wa Mamlaka hiyo kwa muda mrefu na kitendo cha kutokuchukua hatua katika vyanzo husika.
Akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8dqjrB7TCUU/VYfoqfzAXkI/AAAAAAAHia0/jaTSLvf1YgA/s72-c/519.jpg)
MAKAMU WAPILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AJUMUIKA KATIKAMAAZISHI YA MJUMBE WA BODI YA TUME YA UTUMISHI SERIKALINI BIBI FATMA MOH’D OTHMAN
![](http://2.bp.blogspot.com/-8dqjrB7TCUU/VYfoqfzAXkI/AAAAAAAHia0/jaTSLvf1YgA/s640/519.jpg)
Pemba aliyefariki dunia Hospitali ya Muhimbili na kuzikwa Kijijinikwao Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-PZPtEMAEXA0/VYfordes-0I/AAAAAAAHia4/UVlSVZ9eLyo/s640/524.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fvfBf9OW2MI/VYfoscm2yzI/AAAAAAAHibA/rbLSQ65D4tQ/s640/525.jpg)
Balozi Seif pamoja na baadhi ya viongozi wakiwasili makaburini...
10 years ago
Mwananchi24 Dec
HATUA ZA KINIDHAMU: Dhoruba la Escrow lamkumba Maswi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s72-c/1028.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s1600/1028.jpg)
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009 (Sura ya 203 ya...