Taarifa za utekelezaji mikataba ya kimataifa kuwasilishwa Barazani
WIZARA ya Uwezeshaji Ustawi wa Jamii, Wanawake Vijana na Watoto ya Zanzibar imesema kuanzia sasa taarifa zinazohusu utekelezaji wa mikataba ya kimataifa ya kupambana na ukatili dhidi ya wanawake zitawasilishwa pia katika Baraza la Wawakilishi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Apr
‘Tanzania inatekeleza mikataba ya kimataifa’
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepiga hatua kubwa kwa kutekeleza mikataba mbalimbali ya kimataifa na kikanda iliyoridhiwa, ambayo imesaidia kupambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia na ukandamizaji dhidi ya wanawake.
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mikataba ya kimataifa yaisaidia Tanzania hifadhi ya jamii
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk Pindi Chana (kulia) akizungumza katika mkutano wa siku tatu wa kimataifa unaohusu hifadhi ya jamii unaotarajiwa kumalizika leo jijini Arusha. Katikati ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe na kushoto ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi Wetu, Arusha
UTIAJI saini wa mikataba ya kimataifa, inayohusu hifadhi ya jamii...
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN yaadhimisha siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa na kutoa matokeo ya utafiti wa upatikanaji wa taarifa kwenye ofisi za umma nchini Tanzaniaâ€â€Ž
10 years ago
Michuzi04 Jan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pG_X_Coq9ec/XnyQo31C9RI/AAAAAAALlF8/44tV5-CFVbsMrhlBjxnuwyKXVRcoViW6wCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pG_X_Coq9ec/XnyQo31C9RI/AAAAAAALlF8/44tV5-CFVbsMrhlBjxnuwyKXVRcoViW6wCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CXxMYhv4-E0/XnyQpZpyrpI/AAAAAAALlGE/Ty1v7tktil4gAKirsNy7AkAaWjEdL9PgwCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UL65mhqFQPc/XnyQqT9E29I/AAAAAAALlGI/t-_lknZdx2QCGTa6D6cccuEwNtH92oeTQCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B4.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN:Yasherekea Siku ya Kimataifa ya Haki ya kupata taarifa na kuzindua utafiti wa kupata taarifa Ofisi za Umma
Afisa Utafiti na Maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.
Mwenyekiti msaidi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Bwana...
9 years ago
MichuziMISA TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUZINDUA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA
10 years ago
GPLWIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YATOA TAARIFA YA UTEKELEZAJI MIPANGO 2014/15
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-k7rDjYq3m5Q/XsfO48KYo-I/AAAAAAACLKw/U0kKytEOBE08TAXlEZ3yvu_JpHuIoeOcQCLcBGAsYHQ/s72-c/MBUNGE.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM YA MBUNGE WA KOROGWE MJINI MH. MARY CHATANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-k7rDjYq3m5Q/XsfO48KYo-I/AAAAAAACLKw/U0kKytEOBE08TAXlEZ3yvu_JpHuIoeOcQCLcBGAsYHQ/s400/MBUNGE.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Mzjg3Q2VW-4/XsfO9PCsG_I/AAAAAAACLK0/NBm4wB94lOsmLYAOZw7jjnsHRe1WDfUpACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200522-WA0008.jpg)
UTANGULIZI
Jimbo la Korogwe Mjini linaundwa na Kata 11 ambazo ni Kata ya Manundu, Majengo, Mtonga, Masuguru, Magunga, Old Korogwe, Kwamndolwa, Kwamsisi, Kilole, Bagamoyo na Mgombezi.
Idadi ya Watu ni 68308 ambapo Wanaume (me) 32912 na Wanawake (ke) 35386, kwa sensa ya 2012 maoteo ya 2018 me 38392 na ke 41289 jumla 79681, Mitaa 22, Vijiji 07 na Vitongoji 35.
Baada ya Uchaguzi Mkuu uliomalizika Oktoba 2015, Mbunge wa Jimbo hilo, Ndugu Mary Chatanda aliapishwa rasmi na kuanza majukumu ya...