‘Tanzania inatekeleza mikataba ya kimataifa’
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepiga hatua kubwa kwa kutekeleza mikataba mbalimbali ya kimataifa na kikanda iliyoridhiwa, ambayo imesaidia kupambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia na ukandamizaji dhidi ya wanawake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mikataba ya kimataifa yaisaidia Tanzania hifadhi ya jamii
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk Pindi Chana (kulia) akizungumza katika mkutano wa siku tatu wa kimataifa unaohusu hifadhi ya jamii unaotarajiwa kumalizika leo jijini Arusha. Katikati ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe na kushoto ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi Wetu, Arusha
UTIAJI saini wa mikataba ya kimataifa, inayohusu hifadhi ya jamii...
10 years ago
Habarileo12 Mar
Taarifa za utekelezaji mikataba ya kimataifa kuwasilishwa Barazani
WIZARA ya Uwezeshaji Ustawi wa Jamii, Wanawake Vijana na Watoto ya Zanzibar imesema kuanzia sasa taarifa zinazohusu utekelezaji wa mikataba ya kimataifa ya kupambana na ukatili dhidi ya wanawake zitawasilishwa pia katika Baraza la Wawakilishi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
10 years ago
VijimamboTanzania na India Za saini Mikataba ya Ushirikiano
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahsx57t9Y7E/XtvUumy32HI/AAAAAAALs2c/dcw2rSY47i8kck3Xu7vbpFoEtvapw-VgwCLcBGAsYHQ/s72-c/8dba7a4b-2f74-467c-9c1b-2a465f5d9f72.jpg)
Serikali Inatekeleza Tafsiri Halisi ya Utawala Bora
![](https://1.bp.blogspot.com/-ahsx57t9Y7E/XtvUumy32HI/AAAAAAALs2c/dcw2rSY47i8kck3Xu7vbpFoEtvapw-VgwCLcBGAsYHQ/s640/8dba7a4b-2f74-467c-9c1b-2a465f5d9f72.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora wa Zanzibari, Mhe.Haroun Ali Suleiman (wa kwanza kulia), akizungumza katika Kikao kifupi na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala B ora walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Unguja, Zanzibari Juni 4, 2020, kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu, Makamu Mwenyekiti Mohamedi Khamis Hamadi, na kushoto ni watendaji kutoka Ofisi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a86a8afb-f5d8-48c2-b265-e8995e6cce1b.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya...
10 years ago
Habarileo25 Oct
Tanzania, China zatia saini mikataba minne
MIRADI minne ya maendeleo Tanzania itanufaika na mabilioni ya fedha, yatakayotolewa na China baada ya nchi hizo mbili kutiliana saini Hati za Makubaliano kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo itakayosaidia kuinua uchumi wa taifa.
10 years ago
Habarileo06 Feb
Tanzania, Iran zasaini mikataba kukuza uchumi
WIZARA ya Mambo ya Nje Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran wamesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GG7vwd0PfW4/VYSAWVofWSI/AAAAAAAHhvo/hfDAHh9Ikak/s72-c/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
Tanzania na India Zasaini Mikataba kadhaa ya Ushirikiano
![](http://4.bp.blogspot.com/-GG7vwd0PfW4/VYSAWVofWSI/AAAAAAAHhvo/hfDAHh9Ikak/s640/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EqVG7JLjTyw/VYSAWTd2LcI/AAAAAAAHhvw/QOAQMkUsgVc/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
11 years ago
GPLUTIAJI SAINI WA MIKATABA KATI YA SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA CHINA NA TANZANIA