Tanzania na India Zasaini Mikataba kadhaa ya Ushirikiano

The Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation Dr. Mahadhi Juma Maalim exchange documents with his counterparts India’s Secretary in The Ministry of Defence Shri Mohan Kumar on Memorandum of Understanding in the Field of Hydrography between India and Tanzania
The permanent Secretary in The Ministry of Natural Resources and Tourism Dr.Adelhelm Meru exchange documents with India’s Administrative Secretary in the Ministry of Tourism after signing an MOU on...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTanzania na India Za saini Mikataba ya Ushirikiano
10 years ago
Habarileo06 Feb
Tanzania, Iran zasaini mikataba kukuza uchumi
WIZARA ya Mambo ya Nje Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran wamesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi.
11 years ago
Michuzi02 Jun
TANZANIA NA QATAR ZASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA KAZI NA AJIRA

10 years ago
Michuzi
KAMPUNI ZA SIMU ZASAINI MIKATABA NA MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE(UCSAF)

10 years ago
GPL
KAMPUNI ZA SIMU ZASAINI MIKATABA NA MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE (UCSAF)
11 years ago
Habarileo04 Feb
Tanzania, India kuimarisha ushirikiano
TANZANIA na India zimeeleza kuridhishwa na uhusiano na ushirikiano uliopo baina yao na kusisitiza dhamira ya kweli ya kuuimarisha kwa faida ya wananchi. Hayo yalielezwa kwenye mazungumzo kati ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais wa India, Mohamed Hamid Ansari. Dk yuko nchini humo kwa ziara ya kikazi.
10 years ago
Michuzi
Tanzania —Zambia- Kenya zasaini makubaliano ya Usafirisaji Umeme
Nchi za Tanzania, Zambia na Kenya zimetiliana saini Makubaliano ya Awali (MoU) ya kuanza kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa miundombinu ya kusafirisha umeme wa msongo mkubwa wa kilovolti 400.
Makubaliano hayo ya awali yamesainiwa tarehe 15 desemba 2014, nchini Zambia na Mawaziri wanaosimamia sekta ya Nishati katika nchi husika ambao ni Waziri wa Nishati na Madini nchini, Profesa Sospeter Muhongo, Waziri wa Wizara ya Migodi, Nishati na Maendeleo ya Maji wa...
10 years ago
GPL
TANZANIA - ZAMBIA - KENYA ZASAINI MAKUBALIANO YA USAFIRISAJI UMEME
11 years ago
Michuzi
Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Utekelezaji wa Power Africa Initiative
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark B. Childress wamesaini Makubaliano ya Awali (MoU) kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Marekani kwa ajili ya kutekeleza mpango wa Serikali ya Marekani wa kusaidia maendeleo ya sekta ya umeme barani Afrika, unaoitwa “Power Africa Initiative” ambao umetengewa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 7 na serikali ya nchi hiyo, ...