Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania na India Zasaini Mikataba kadhaa ya Ushirikiano

 The Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation Dr.  Mahadhi Juma Maalim exchange documents with his counterparts India’s Secretary in The Ministry of Defence Shri Mohan Kumar on Memorandum of Understanding in the Field of Hydrography between India and Tanzania The permanent Secretary in The Ministry of Natural Resources and Tourism Dr.Adelhelm  Meru  exchange documents with India’s Administrative Secretary in the Ministry of Tourism  after signing an MOU on...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Tanzania na India Za saini Mikataba ya Ushirikiano

 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete who is on a State visit to India at the invitation of the government of India today with India’s Prime Minister Narendra Modi witnessed the signing ceremony of Seven Memoranda of Understanding(M o U) shortly after the official welcoming ceremony held at the Presidential palace in New Delhi India.In the pictures below 1.6672-- The Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation Dr.  Mahadhi Juma Maalim exchange documents with his...

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania, Iran zasaini mikataba kukuza uchumi

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.WIZARA ya Mambo ya Nje Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran wamesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA NA QATAR ZASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA KAZI NA AJIRA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) kwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi na Ajira wa Qatar wakisaini Mkataba wa Kazi ambao unalenga kuwawezesha Watanzania hususan vijana wenye ujuzi/taaluma katika fani mbalimbali kupata fursa za ajira na kazi za staha, ujira stahiki, kujiunga na hifadhi za jamii nchini Qatar.  Mkataba huo pia unazingatia sheria na viwango vya kazi kulingana na Mikataba ya Kimaataifa ikiwemo ya Shirika la...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI ZA SIMU ZASAINI MIKATABA NA MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE(UCSAF)

Ofisa Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Georgia Mutagahywa (kulia) akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi Mkuu wa MIC Tanzania (Tigo), Cecilia Tiano (kushoto) wakati wa hafla ya kutia saini mikataba ya miradi miwili ya upelekaji mawasiliano vijijini awamu ya 2A kati ya Mfuko Wa Mawasiliano Kwa Wote (UCSAF)na kampuni za simu za mkononi uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Miradi hiyo ni upelekaji wa mawasiliano mipakani na maeneo maalum na mradi wa kuunganisha Intaneti...

 

10 years ago

GPL

KAMPUNI ZA SIMU ZASAINI MIKATABA NA MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE (UCSAF)‏

Ofisa Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Georgia Mutagahywa (kulia) akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi Mkuu wa MIC Tanzania (Tigo), Cecilia Tiano (kushoto) wakati wa hafla ya kutia saini mikataba ya miradi miwili ya upelekaji mawasiliano vijijini awamu ya 2A kati ya Mfuko Wa Mawasiliano Kwa Wote (UCSAF)na kampuni za simu za mkononi uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Miradi hiyo ni upelekaji wa...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania, India kuimarisha ushirikiano

TANZANIA na India zimeeleza kuridhishwa na uhusiano na ushirikiano uliopo baina yao na kusisitiza dhamira ya kweli ya kuuimarisha kwa faida ya wananchi. Hayo yalielezwa kwenye mazungumzo kati ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais wa India, Mohamed Hamid Ansari. Dk yuko nchini humo kwa ziara ya kikazi.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania —Zambia- Kenya zasaini makubaliano ya Usafirisaji Umeme

Na Teresia Mhagama
Nchi za Tanzania, Zambia na Kenya zimetiliana saini Makubaliano ya Awali (MoU) ya kuanza kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa miundombinu ya kusafirisha umeme wa msongo mkubwa wa kilovolti 400.
Makubaliano hayo ya awali yamesainiwa tarehe 15 desemba 2014, nchini Zambia na Mawaziri wanaosimamia sekta ya Nishati katika nchi husika ambao ni Waziri wa Nishati na Madini nchini, Profesa Sospeter Muhongo, Waziri wa Wizara ya Migodi, Nishati na Maendeleo ya Maji wa...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA - ZAMBIA - KENYA ZASAINI MAKUBALIANO YA USAFIRISAJI UMEME

Waziri wa Nishati na Madini nchini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto), Waziri wa Migodi, Nishati na Maendeleo ya Maji wa Zambia, Christopher Yaluma (katikati), na Waziri wa Nishati na Petroli wa Kenya, Davis Chirchir (kulia) wakisaini Makubaliano ya Awali (MoU) ya mradi wa pamoja wa kujenga miundombinu ya kusafirisha umeme kati ya nchi za Zambia, Tanzania na Kenya.… ...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Utekelezaji wa Power Africa Initiative

Na Teresia Mhagama
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark B. Childress wamesaini Makubaliano ya Awali (MoU) kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Marekani kwa ajili ya kutekeleza mpango wa Serikali ya Marekani wa kusaidia maendeleo ya sekta ya umeme barani Afrika, unaoitwa “Power Africa Initiative” ambao umetengewa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 7 na serikali ya nchi hiyo, ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani