Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Utekelezaji wa Power Africa Initiative
![](http://3.bp.blogspot.com/-zS6TWfP8xmg/U9_o0dz5OYI/AAAAAAAF9Ik/qSMHpnmukrA/s72-c/unnamed.jpg)
Na Teresia Mhagama
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark B. Childress wamesaini Makubaliano ya Awali (MoU) kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Marekani kwa ajili ya kutekeleza mpango wa Serikali ya Marekani wa kusaidia maendeleo ya sekta ya umeme barani Afrika, unaoitwa “Power Africa Initiative” ambao umetengewa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 7 na serikali ya nchi hiyo, ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ztNeZyKh9LA/VI_WFRzO2hI/AAAAAAAG3ck/18rKtHJ1FSI/s72-c/picha%2Bmoja.jpg)
Tanzania —Zambia- Kenya zasaini makubaliano ya Usafirisaji Umeme
Nchi za Tanzania, Zambia na Kenya zimetiliana saini Makubaliano ya Awali (MoU) ya kuanza kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa miundombinu ya kusafirisha umeme wa msongo mkubwa wa kilovolti 400.
Makubaliano hayo ya awali yamesainiwa tarehe 15 desemba 2014, nchini Zambia na Mawaziri wanaosimamia sekta ya Nishati katika nchi husika ambao ni Waziri wa Nishati na Madini nchini, Profesa Sospeter Muhongo, Waziri wa Wizara ya Migodi, Nishati na Maendeleo ya Maji wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBunmAl55Jvd6x6R5QGgMudqhsllG4EQHHsnTCLL*pRytPa9-y6uYEWwRMLl*xGb2xQKEll8ofIZHkswrq*NYWGx/pichamoja.jpg?width=650)
TANZANIA - ZAMBIA - KENYA ZASAINI MAKUBALIANO YA USAFIRISAJI UMEME
9 years ago
GPL30 Sep
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s72-c/No.%2B1B.jpg)
SERIKALI ZA UGANDA NA TANZANIA ZATIA SAINI HATI YA MAKUBALIANO JUU YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUSAFIRISHA MAFUTA GHAFI
![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s640/No.%2B1B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8XONTZxJWEQ/VNCem4aqFjI/AAAAAAACzPc/s7XW7Kq_12c/s72-c/unnamed.jpg)
Huawei na Umoja wa Afrika zasaini makubaliano kuboresha miundombinu ya teknohama Afrika
![](http://2.bp.blogspot.com/-8XONTZxJWEQ/VNCem4aqFjI/AAAAAAACzPc/s7XW7Kq_12c/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sqkLMHkyO84/VNUfAGTBjTI/AAAAAAAAWwQ/e7FSQRrD7-o/s72-c/2.jpg)
SPLM YAANZA UTEKELEZAJI WA MAKUBALIANO YA ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sqkLMHkyO84/VNUfAGTBjTI/AAAAAAAAWwQ/e7FSQRrD7-o/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6wi3UmWZMKs/VNUfAc_N8eI/AAAAAAAAWwU/lkbZvOXawpw/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (wa tatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya na Ujumbe wa Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini
Ujumbe wa Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini yalifanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana mjini Dar es Salaam...
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Serikali yasaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akiwa na Rais wa Kampuni ya China Railway International Group Co. Ltd Dkt. Lu Bo wakisaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara. Makubaliano hayo yalifanyika Beijing, China tarehe 10 Januari 2015. nyuma ya Katibu Mkuu (aliyesimama) ni Waziri wa Maji Mheshimiwa Prof. Jumanne Abdallah Maghembe (Mb).
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akipeana mikono na Rais wa Kampuni ya China...
11 years ago
Michuzi08 Aug
Tanzania and U.S. Sign “Power Africa” MOU Reaffirming Joint Commitments for the Energy Sector
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J37QbebcH6w/VOXEPAuYMBI/AAAAAAAHEgU/vqph2IWt7m0/s72-c/Untitled.png)
The African Development Bank Group Supports Power Trade between Kenya and Tanzania ADF USD 144.9 million Loan to Kenya — Tanzania Power Interconnection Project
![](http://1.bp.blogspot.com/-J37QbebcH6w/VOXEPAuYMBI/AAAAAAAHEgU/vqph2IWt7m0/s1600/Untitled.png)
The project will allow the two countries to exchange power. In addition, the Kenya-Tanzania Interconnection Project plays an important role in promoting regional integration through power trade.
The project is expected to improve the supply, reliability and affordability of electricity in the...