SPLM YAANZA UTEKELEZAJI WA MAKUBALIANO YA ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sqkLMHkyO84/VNUfAGTBjTI/AAAAAAAAWwQ/e7FSQRrD7-o/s72-c/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (wa tatu kutoka kushoto) akiwa kwenye mazungumzo na Ujumbe wa Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (wa tatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya na Ujumbe wa Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini
Ujumbe wa Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini yalifanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana mjini Dar es Salaam...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 Jan
UTIAJI SAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA KUKIUNGANISHA CHAMA CHA SPLM CHA SUDAN KUSINI JIJINI ARUSHA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-wWcLkGh8qCs%2FVMElE0BZ4kI%2FAAAAAAAArWQ%2FacOaNzdf1IM%2Fs1600%2Fsp%252B(1).jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4ZCG0Dcorlc/VMEdpRpIKsI/AAAAAAAG_A8/8HSb3jcUWK4/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
FURAHA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA KUUNGANISHA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI KUSINI,JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ZCG0Dcorlc/VMEdpRpIKsI/AAAAAAAG_A8/8HSb3jcUWK4/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s72-c/2.jpg)
KUNA MATUMAINI MAKUBWA YA KUFIKIWA MAKUBALIANO YA KUKIUNGANISHA CHAMA CHA SPLM-KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA-
![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana aliwasili Arusha kwa lengo la kufanya mazungumzo na makundi matatu ya chama cha SPLM ya Sudani ya Kusini, mashauriano hayo yalilenga kukamilisha makubaliano baina ya makundi hasimu.
Baada ya Mazungumzo Ndugu Kinana alisema ana matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kukiunganisha chama cha SPLM katika siku chache zijazo
Kutoka kushoto ni Balozi David Kapya,Abdulrahman Kinana,Mwenyekiti wa Mazungumzo Dk.John Samuel Malecela na Makamu Mwenyekiti...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zS6TWfP8xmg/U9_o0dz5OYI/AAAAAAAF9Ik/qSMHpnmukrA/s72-c/unnamed.jpg)
Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Utekelezaji wa Power Africa Initiative
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark B. Childress wamesaini Makubaliano ya Awali (MoU) kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Marekani kwa ajili ya kutekeleza mpango wa Serikali ya Marekani wa kusaidia maendeleo ya sekta ya umeme barani Afrika, unaoitwa “Power Africa Initiative” ambao umetengewa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 7 na serikali ya nchi hiyo, ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W1BMND1H2hw/VL7VM5wRywI/AAAAAAAG-h8/gPGJHfWKGO4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-21%2Bat%2B1.20.56%2BAM.png)
Statement on SPLM Agreement in Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-W1BMND1H2hw/VL7VM5wRywI/AAAAAAAG-h8/gPGJHfWKGO4/s1600/Screen%2BShot%2B2015-01-21%2Bat%2B1.20.56%2BAM.png)
The Presidents of South Africa, Uganda and Kenya and the Prime Minister of Ethiopia will join Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete in witnessing the signing to take...
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Serikali yasaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akiwa na Rais wa Kampuni ya China Railway International Group Co. Ltd Dkt. Lu Bo wakisaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara. Makubaliano hayo yalifanyika Beijing, China tarehe 10 Januari 2015. nyuma ya Katibu Mkuu (aliyesimama) ni Waziri wa Maji Mheshimiwa Prof. Jumanne Abdallah Maghembe (Mb).
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akipeana mikono na Rais wa Kampuni ya China...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s72-c/No.%2B1B.jpg)
SERIKALI ZA UGANDA NA TANZANIA ZATIA SAINI HATI YA MAKUBALIANO JUU YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUSAFIRISHA MAFUTA GHAFI
![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s640/No.%2B1B.jpg)
10 years ago
Sudan Tribune25 Jun
South Sudan's rival SPLM factions to meet in Arusha
Sudan Tribune
Sudan Tribune
June 24, 2015 (NAIROBI) – South Sudanese opposition factions of the ruling Sudan Peoples' Liberation Movement (SPLM) are expected to meet in Arusha, Tanzania, this week for further talks on reunification of the party, officials have confirmed. JPEG - 26.5 ...
9 years ago
StarTV13 Nov
Hospitali ya Taifa Muhimbili yaanza utekelezaji wa maagizo ya Maguful
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imeanza utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli alipofanya ziara ya kushtukiza katika hospital hiyo jumatatu wiki hii.
Rais Magufuli baada ya kutembelea na kujionea changamoto mbalimbali, alitoa wiki mbili kwa uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha mashine za IMR na CT- SCAN zinatengenezwa na kuanza kufanya kazi.
Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Hospital ya Taifa ya Muhimbili Aminiel...