KUNA MATUMAINI MAKUBWA YA KUFIKIWA MAKUBALIANO YA KUKIUNGANISHA CHAMA CHA SPLM-KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA-
![](http://4.bp.blogspot.com/-q82SU8yXGkQ/VLlDmDirdVI/AAAAAAAAVpo/yAqE2Fucg38/s72-c/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana aliwasili Arusha kwa lengo la kufanya mazungumzo na makundi matatu ya chama cha SPLM ya Sudani ya Kusini, mashauriano hayo yalilenga kukamilisha makubaliano baina ya makundi hasimu.
Baada ya Mazungumzo Ndugu Kinana alisema ana matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kukiunganisha chama cha SPLM katika siku chache zijazo
Kutoka kushoto ni Balozi David Kapya,Abdulrahman Kinana,Mwenyekiti wa Mazungumzo Dk.John Samuel Malecela na Makamu Mwenyekiti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 Jan
UTIAJI SAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA KUKIUNGANISHA CHAMA CHA SPLM CHA SUDAN KUSINI JIJINI ARUSHA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-wWcLkGh8qCs%2FVMElE0BZ4kI%2FAAAAAAAArWQ%2FacOaNzdf1IM%2Fs1600%2Fsp%252B(1).jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3JpOmlXLqP0/VMKp54KpvEI/AAAAAAACyVo/LaVjFS6G8QA/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA APOKELEWA KWA MAANDAMANO MAKUBWA JIMBO LA DONGE-MKOA WA KASKAZINI B.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3JpOmlXLqP0/VMKp54KpvEI/AAAAAAACyVo/LaVjFS6G8QA/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cFocjb8gVnw/VMKpvPS6jcI/AAAAAAACyUI/az23C3uz5W0/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziLOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akagua shughuli za kilimo cha mkono kijiji cha Kwemnyefu
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima na kupanda mahindi katika shamba kijijini Kwemnyefu Kata ya Mpapayu wilayani Mheza mkoani Tanga pamoja na wananchi wakati alipotembelea shamba hilo na kukagua shughuli za kilimo cha mkono, Katika shughuli hiyo katibu mkuu huyo ameshirikiana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi wakiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s72-c/sa.jpg)
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s1600/sa.jpg)
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini (SPLM) jijini Arusha
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s72-c/s5.jpg)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s1600/s5.jpg)
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana ahutubia mkutano Mkuu wa 6 wa ZANU PF Harare -Zimbabwe
Amewataka wana ZANU PF kuendelea kuunga mkono chama chao na kuongeza mapambano dhidi ya maadui wote wanaotaka kurudisha nyuma jitihada za kupigania maslahi ya nchi yao.
Akisoma salamu za mshikamano za Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano Mkuu wa ZANU PF...