TANZANIA NA QATAR ZASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA KAZI NA AJIRA
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) kwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi na Ajira wa Qatar wakisaini Mkataba wa Kazi ambao unalenga kuwawezesha Watanzania hususan vijana wenye ujuzi/taaluma katika fani mbalimbali kupata fursa za ajira na kazi za staha, ujira stahiki, kujiunga na hifadhi za jamii nchini Qatar. Mkataba huo pia unazingatia sheria na viwango vya kazi kulingana na Mikataba ya Kimaataifa ikiwemo ya Shirika la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GG7vwd0PfW4/VYSAWVofWSI/AAAAAAAHhvo/hfDAHh9Ikak/s72-c/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
Tanzania na India Zasaini Mikataba kadhaa ya Ushirikiano
![](http://4.bp.blogspot.com/-GG7vwd0PfW4/VYSAWVofWSI/AAAAAAAHhvo/hfDAHh9Ikak/s640/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EqVG7JLjTyw/VYSAWTd2LcI/AAAAAAAHhvw/QOAQMkUsgVc/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ykRRpFWva6I/VCtS92V2dXI/AAAAAAAGm2g/hQC35PpiF84/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
ZAMBIA, TANZANIA, KENYA ZASAINI MKATABA KUONESHA DHAMIRA YA KUJENGA MIUNDOMBINU YA UMEME
11 years ago
MichuziTANZANIA NA MALAWI ZASAINI MKATABA WA KUANZISHA KITUO CHA PAMOJA CHA UHAMIAJI NA USHURU WA FORODHA
11 years ago
BBCSwahili21 May
Urusi na Uchina zasaini mkataba wa gesi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EIRBV66nV5g/XlQFKAPnHXI/AAAAAAALfLY/P__PYsrJGV4usMROzNtlCZr9rKP4v2QXQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-54-1024x683.jpg)
MKATABA MPYA WA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA EU UIMARISHE SEKTA ZA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-EIRBV66nV5g/XlQFKAPnHXI/AAAAAAALfLY/P__PYsrJGV4usMROzNtlCZr9rKP4v2QXQCLcBGAsYHQ/s640/1-54-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akipeana mkono na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, baada ya kumaliza kwa mkutano kuhusu ushirikiano wa maendeleo ya kiuchumi, uliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-45-1024x683.jpg)
Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, akizungumza kuhusu uboreshaji wa miundombinu ili kuchochea biashara, wakati wa kikao na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb)...
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
Airtel Tanzania ni kampuni ya kwanza ya mawasiliano nchini kuingia mkataba wa ushirikiano na Apple
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Bi. Beatrice Singano Mallya (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati Kampuni ya Airtel kwa kushirikiana na Apple ilipofanya uzinduzi wa simu mpya ya iPhone 5s pamoja na ofa kabambe kwa wateja wa Airtel, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Ofa hiyo itawawezesha wateja wa Airtel kupata sms 5000, muda wa maongezi dakika 1500 pamoja na kifurushi cha internet cha 3GB. Wanaoshuhudia ni Meneja Masoko wa Airtel, Prisca Tembo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NdgjiYqvIOE/VcumeW9RSrI/AAAAAAAHwQQ/t34Bzfu3T5g/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Vodacom na TFF zasaini mkataba wa udhamini wa ligi kuu kwa miaka mitatu
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdgjiYqvIOE/VcumeW9RSrI/AAAAAAAHwQQ/t34Bzfu3T5g/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ax8VovP-9xo/Vcumfyktc9I/AAAAAAAHwQY/VY4_565eQmw/s640/unnamed%2B%252858%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s72-c/unnamedZ.jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s1600/unnamedZ.jpg)
10 years ago
Habarileo22 Dec
Watanzania kunufaika na ajira Qatar - Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania watanufaika na kipato na maarifa ya teknolojia ya kisasa kutokana na ajira, ambazo watapata katika nchi ya Qatar baada ya mkataba kusainiwa hivi karibuni.