MKATABA MPYA WA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA EU UIMARISHE SEKTA ZA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-EIRBV66nV5g/XlQFKAPnHXI/AAAAAAALfLY/P__PYsrJGV4usMROzNtlCZr9rKP4v2QXQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-54-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akipeana mkono na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, baada ya kumaliza kwa mkutano kuhusu ushirikiano wa maendeleo ya kiuchumi, uliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dodoma.
Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti, akizungumza kuhusu uboreshaji wa miundombinu ili kuchochea biashara, wakati wa kikao na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi02 Jun
TANZANIA NA QATAR ZASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA KAZI NA AJIRA
![](https://4.bp.blogspot.com/-VlUQ04yeLL0/U4xkUzK5LQI/AAAAAAAAUJY/Uvk-1UUqh_I/s1600/IMG_4560.jpg)
11 years ago
MichuziBALOZI KAMALA ABAINISHA MTAZAMO MPYA WA USHIRIKIANO KATI YA AFRIKA, KARIBIANI, PASIFIKI NA JUMUIYA YA ULAYA
10 years ago
MichuziMAZUNGUMZO YA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA COMORO YAFANYIKA
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb),akimkaribisha Wizarani Waziri wa Mambo ya Nje wa Muungano wa Visiwa vya Comoro, Mhe El-Anrif Said Hassane kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Comoro.
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
Airtel Tanzania ni kampuni ya kwanza ya mawasiliano nchini kuingia mkataba wa ushirikiano na Apple
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Bi. Beatrice Singano Mallya (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati Kampuni ya Airtel kwa kushirikiana na Apple ilipofanya uzinduzi wa simu mpya ya iPhone 5s pamoja na ofa kabambe kwa wateja wa Airtel, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Ofa hiyo itawawezesha wateja wa Airtel kupata sms 5000, muda wa maongezi dakika 1500 pamoja na kifurushi cha internet cha 3GB. Wanaoshuhudia ni Meneja Masoko wa Airtel, Prisca Tembo...
10 years ago
Vijimambo13 Mar
Tanzania na China kuendeleza ushirikiano kwenye Sekta ya Uwekezaji na Viwanda
9 years ago
VijimamboTANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-edoAFvP6e0E/VElGSj22d2I/AAAAAAAGtCI/UJykBX6mTNw/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA KATI YA TANZANIA NA CHINA HUKO BEIJING
![](http://4.bp.blogspot.com/-edoAFvP6e0E/VElGSj22d2I/AAAAAAAGtCI/UJykBX6mTNw/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CwHJV8ecrug/VElGShs9qCI/AAAAAAAGtCM/xm8iyW_UIOU/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Sekta ya Viwanda: Kiini cha maendeleo Tanzania