KAMPUNI ZA SIMU ZASAINI MIKATABA NA MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE (UCSAF)
![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo43OzKitUOLsfE4iWn*cDfdd-Kv2fqHQTCpzNhWs9WyUJcaSDlgATbIjNt91gxxw55g3mtBUYFyJMMZBxUaKLyI/001.MKATABA.jpg?width=650)
Ofisa Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Georgia Mutagahywa (kulia) akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi Mkuu wa MIC Tanzania (Tigo), Cecilia Tiano (kushoto) wakati wa hafla ya kutia saini mikataba ya miradi miwili ya upelekaji mawasiliano vijijini awamu ya 2A kati ya Mfuko Wa Mawasiliano Kwa Wote (UCSAF)na kampuni za simu za mkononi uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Miradi hiyo ni upelekaji wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uP4hRYkyRaY/VTY2vpvgCiI/AAAAAAAHSNo/YUOZktKLnxc/s72-c/001.MKATABA.jpg)
KAMPUNI ZA SIMU ZASAINI MIKATABA NA MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE(UCSAF)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uP4hRYkyRaY/VTY2vpvgCiI/AAAAAAAHSNo/YUOZktKLnxc/s1600/001.MKATABA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/JPEG.-NA.-2-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati) akisisitiza jambo kwa Meneja Mtandao wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wa Mkoa wa Songwe, Castuly Puka (wa pili kushoto) baada ya kuzindua mnara wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GaQCabyB1gc/XlaPfTtrT8I/AAAAAAALfl8/eYvF3oErS1Qu1cUTXi-pmrgyI57iVPApQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-26%2Bat%2B18.17.39.jpeg)
Kampuni za mawasiliano ya simu zinavyoleta mapinduzi katika sekta ya afya
![](https://1.bp.blogspot.com/-GaQCabyB1gc/XlaPfTtrT8I/AAAAAAALfl8/eYvF3oErS1Qu1cUTXi-pmrgyI57iVPApQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-26%2Bat%2B18.17.39.jpeg)
Wiki iliyopita Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikishirikiana na Chuo Kikuu cha Oxford imetangaza mradi mkubwa wa afya nchini Tanzania. Mradi huo utakaogharimu shilingi za Kitanzania bilioni 13.5 unalenga kutumia teknolojia ya akili bandia za mifumo ya kompyuta kwa kimombo Artificial Intelligence (AI)na ugunduzi wa chanzo na athari za magonjwa kidijitali (digital pathology). Uwekezaji wa namna hii unasaidia kuhakikisha kwamba hospitali nchini Tanzania zinaendelea kujenga uwezo wa kutoa huduma...
5 years ago
Michuzi![](https://3.bp.blogspot.com/-aJmx7xCg9A0/XnHc-ceO35I/AAAAAAAC8sI/37VmXblAn885KhAq4jIJ04Ip0npmW7e-wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200318-WA0005.jpg)
Kampuni za mawasiliano ya simu zinavyosaidia kuinua wanawake nchini Tanzania
![](https://3.bp.blogspot.com/-aJmx7xCg9A0/XnHc-ceO35I/AAAAAAAC8sI/37VmXblAn885KhAq4jIJ04Ip0npmW7e-wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200318-WA0005.jpg)
Nchini Tanzania usawa wa kijinsia umeongezeka katika miaka ya karibuni kutokana na nguvu za serikali, taasisi na watu binafsi kuweka mazingira ya upatikanaji wa elimu kwa mtoto wa kike na haki ya mwanamke kumiliki na kutumia ardhi.Licha ya maendeleo hayo, yapo mengi ambayo...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TTCL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO, WAISHIO VIJIJINI KUNUFAIKA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hFt_rcfkdVs/XtJFRxXseXI/AAAAAAALsFQ/jeCi5FMOi0IbvqiKaf2G4d-aOGvwuG-RACLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-2-768x512.jpg)
KATIBU MKUU MPYA WA MAWASILIANO AKUTANA NA BODI YA UCSAF
![](https://1.bp.blogspot.com/-hFt_rcfkdVs/XtJFRxXseXI/AAAAAAALsFQ/jeCi5FMOi0IbvqiKaf2G4d-aOGvwuG-RACLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-2-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/JPEG.-NA.-3-1024x683.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainab Chaula akizungumza na wajumbe wa bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote, Menejimenti ya Wizara yake na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GG7vwd0PfW4/VYSAWVofWSI/AAAAAAAHhvo/hfDAHh9Ikak/s72-c/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
Tanzania na India Zasaini Mikataba kadhaa ya Ushirikiano
![](http://4.bp.blogspot.com/-GG7vwd0PfW4/VYSAWVofWSI/AAAAAAAHhvo/hfDAHh9Ikak/s640/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EqVG7JLjTyw/VYSAWTd2LcI/AAAAAAAHhvw/QOAQMkUsgVc/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Feb
Tanzania, Iran zasaini mikataba kukuza uchumi
WIZARA ya Mambo ya Nje Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran wamesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi