Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watatu wafariki kwa kuzama baharini

Watu watatu mkoani Mtwara wamepoteza maisha kufuatia kuzama kwa mtumbwi waliokuwa wakisafiria katika Bahari ya Hindi kutoka Kitongoji cha Mwale kuja Mtwara Mjini kwa ajili ya shughuli zao za kila siku.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NDEGE INAYOHOFIWA KUZAMA BAHARINI, HALI BADO TETE

Vikosi vya uokoaji kutoka nchini China vikielekea eneo inapodaiwa kuzama ndege ya Malaysia aina ya Boeing 777. Meli ya ulinzi ya Vietnam ikiwa kisiwa cha Phu Quoc inapohofiwa kuzama ndege hiyo.…

 

11 years ago

GPL

WATATU WAFARIKI KWA KUFUKIWA KIFUSI MACHIMBONI DAR

Shughuli ya uokoaji ikiendelea. Waokoaji baada ya kugundua mwili ulipo.…

 

10 years ago

GPL

WAHAMIAJI 900 WAFARIKI DUNIA BAADA YA MASHUA YAO KUZAMA BAHARI YA MEDITERRANEAN

Maiti za wahamiaji waliozama baada ya mashua yao kupinduka nje ya pwani ya Libya siku ya Jumamosi zikiwa katika meli ya Italia katika bandari ya Malta.…

 

10 years ago

Vijimambo

Watatu wafariki, 11 wajeruhiwa

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela.Watu watatu wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa vibaya katika matukio mawili yaliyozua taharuki kwa wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro mwishoni mwa wiki.

Katika tukio la kwanza lililohusisha ajali ya gari dogo aina ya Toyota Noah likitokea Tanga kwenda Moshi Mjini, liliacha njia na kupinduka baada ya dereva wake, Ally Kasim (48) kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi.

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema ...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA:WANAFUNZI WATATU WA KIKE WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WILAYA YA ILEJE.

Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya -SACP Ahmed Msangi--WANAFUNZI WATATU WA KIKE WANAOSOMA SHULE YA MSINGI ILOMBA AMBAO NI 1. SEVELINA MWILE [11], MKAZI WA KITONGOJI CHA ITALE 2. GRACE PATSON [10], MKAZI WA KITONGOJI CHA ITALE NA 3. AGEY SEME [10], MKAZI WA KITONGOJI CHA ILOMBA[W] MBEYA VIJIJINI WOTE WANAFUNZI WA DARASA LA NNE SHULENI HAPO WALIFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WAKATI WAKICHIMBA UDONGO NDANI YA SHIMO.
TUKIO HILO LIMETOKEA TAREHE 12.11.2014 MAJIRA YA SAA 12:00HRS...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watatu wafariki ajalini Pwani

WATU watatu wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya ajali iliyohusisha gari la abiria na lori katika eneo la Pera Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Tukio hilo lilitokea usiku...

 

11 years ago

Mtanzania

Watatu wafariki dunia D’Salaam

Dar es Salaam

Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam

Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

WATU watatu wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti likiwamo la mtoto Jackline Lubaka (5), kufariki baada ya ukuta kumdondokea.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 11 jioni wakati Lubaka alipokuwa akicheza na wenzake pembezoni mwa nyumba wanayoishi ghafla alidondokewa na ukuta na kufariki dunia papo hapo.

Alisema chanzo cha ajali hiyo ni uchakavu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wafariki dunia Pwani

MKAZI wa Kijiji cha Msolwa, wilayani Bagamoyo, Doto Paul (30), amekufa kwa kuteketea kwa moto uliotokana na radi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema jana kuwa tukio...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wafariki dunia Dar

WATU watatu wamefariki dunia jana jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti, likiwamo la mmoja kujinyonga kwa kutumia mtandio. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani