AJALI YA BOTI KIGOMA TISA WAFARIKI DUNIA
Na Editha Karlo, KigomaWATU tisa wamefariki baada ya boti la abiria kuzama katika ziwa Tanganyika.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma Kamishna msaidizi MARTIN OTTIENO amethibitsha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo la rasini na kusema kuwa Boti ilo liitwalo mv Nzeimana linalofanya safari zake kati ya Kijiji cha Sibwesa na ikola limezama likiwa abiria sitini ambapo abiria hamsini na moja wameokolewa.
Aidha Kamanda OTTIENO amesema chanzo cha ajali hiyo ni upepo mkali uliosababisha boti hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4eetaZGuG7s/XvSUp2kgvoI/AAAAAAALvYE/iT4wwxmtXAoHAMkZ2NlC93AWM3ZZ4xmgwCLcBGAsYHQ/s72-c/congo-boaot.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZZ:AJALI YA BOTI KIGOMA,TISA WAFARIKIKI DUNIA
WATU tisa wamefariki baada ya boti la abiria kuzama katika ziwa Tanganyika.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma Kamishna msaidizi MARTIN OTTIENO amethibitsha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo la Rasini na kusema kuwa Boti ilo liitwalo mv Nzeimana linalofanya safari zake kati ya Kijiji cha Sibwesa na ikola limezama likiwa na abiria 60, ambapo abiria 51 wameokolewa.
Aidha Kamanda OTTIENO amesema chanzo cha ajali hiyo ni upepo mkali uliosababisha boti hilo kukosa...
11 years ago
Mwananchi15 May
Tisa wafariki dunia, 10 wajeruhiwa
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SjVAbPf4aQE/VJgUmQzhHOI/AAAAAAAAyJE/s9ELocmsDhM/s72-c/10849955_762723843796739_395811204800001497_n.jpg)
WATU TISA WAFARIKI DUNIA BAADA YA GARI WALILOKUWA WAKISAFIRIA KUGONGANA WILAYANI MOMBA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SjVAbPf4aQE/VJgUmQzhHOI/AAAAAAAAyJE/s9ELocmsDhM/s640/10849955_762723843796739_395811204800001497_n.jpg)
WATU TISA [09] KATI YAO WANAUME SABA [07] NA WANAWAKEWAWILI [02] WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA GARI WALIOKUWA WAKISAFIRIA LENYE NAMBA ZA USAJILI T.203 ARZ AINA YA TOYOTA COASTER LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE JOHN EMANUEL (36) MKAZI WA MLOWO-MBOZI LIKIWA LINATOKEA MBEYA KWENDA TUNDUMA WAKATI AKIJARIBU KULIPITA GARI T.789 AZL/T.123 AXV AINA YA TATA TRUCK ENEO AMBALO KUNA MLIMA NA...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKmUWJXtjCiHNS0SwzfmEWAhTCmjwTUZdeosMIvqWzWU0dcxGwjppZPkgYGkbWwRaOGTZXVBx6An2TNVBt*T3SXx/150507214029_burundian_refugee_kigoma_640x360_bbc_nocredit.jpg)
WAKIMBIZI SABA WA BURUNDI WAFARIKI DUNIA KAMBI ZA KIGOMA
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Watu 7 wafariki na wengine 10 kujeruhiwa katika ajali ya gari mkoani Kigoma
Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny).
Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny).
Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma, wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny).
Majeruhi wa ajali ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma akipatiwa matibabu katika Hospitali ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI TOKA NRA KWA WAKAZI WA MKOA WA KIGOMA KWA AJALI YA BOTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es salaam NAIBU KATIBU MKUU TAIFA NA KATIBU MKUU WA BODI ya CHAMA CHA UJENZI WA TAIFA, NRA (NATIONAL RECONSTRUCTION ALLIANCE), Mhe HASSAN KISABYA ALMAS, ametoa pole kwa wananchi wa mkoa wa kigoma na Uongozi Mzima wa mkoa kwa msiba mzito uliowapata baada ya watu zaidi ya kumi kupoteza maisha kwa ajali ya boti.Ndugu Kisabya alisema, ajali ni jambo lisilotarajiwa na kuwataka ndugu jamaa na marafiki waliopoteza jamaa zao kuna na uvumilivu...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Sita wafariki dunia ajali ya basi Mkuranga
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Breaking News: Watu 10 wafariki dunia katika ajali ya basi Shinyanga na 51 wajeruhiwa
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kamishina msaidizi, Justus Kamugisha.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Habari zilizotufikia hivi punde katika chumba cha Modewji blog ni kuwa bado jeshi la Polisi na wasamaria wema wanaendelea kuokoa majeruhi na maiti wa ajali ya gari iliyotokea muda wa masaa mawili yaliyopita kwa kuuhusisha basi la Unique namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na lori katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s72-c/unnamed+(61).jpg)
ASKARI POLISI WATANO MKOANI DODOMA WAFARIKI DUNIA PAPOHAPO KATIKA AJALI YA GARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s1600/unnamed+(61).jpg)
Askari polisi watano mkoani dodoma wafariki dunia papohapo katika ajali ya gari iliyotokea 31/01/2014 majira ya 23.45 hrs katika barabara kuu ya Dodoma – Morogoro eneo la Mtumba Center, Kata ya Mtumba Tarafa ya Kikombo Manispaa ya Dodoma, ambapo gari namba T.770 ABT Toyota Corolla lililokuwa likiendeshwa na Askari namba H. 3783 PC DEOGRATIUS wa Polisi Wilaya ya Kongwa likitokea Dodoma mjini likielekea Wilayani Kongwa liligongana uso kwa uso...