Afariki baada ya ‘ndege kudunguliwa’
Mamia ya wakazi wa Kisiwa cha Kome, wilayani Sengerema, mkoani Mwanza, wamefurika kwenye familia ya mkazi wa Kijiji cha Nyakasasa kushuhudia mwanamke amedondoka chini akiwa amefariki dunia akidaiwa kufanya mambo ya ushirikina.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Ukraine:Kudunguliwa kwa ndege ni uhalifu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Mbunge afariki katika ajali ya ndege Tanzania
10 years ago
CloudsFM10 Nov
MHUBIRI WA KIMATAIFA DK MUNROE AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA NDEGE
Katika ajali hiyo, ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria iligonga winchi na kulipuka wakati ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Grand Bahama.
Dk. Munroe ambaye pia alikuwa mzungumzaji maarufu wa mambo ya uongozi na biashara duniani, Oktoba 21, mwaka huu alitoa somo kwa viongozi mbalimbali nchini katika mkutano wake mkubwa uliofanyika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lp7ZMpIVo9E/VDdqi26mHHI/AAAAAAAGo6A/hqYb7RJ7mEs/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
TANZIA: OMAR NDEGE MGORI AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lp7ZMpIVo9E/VDdqi26mHHI/AAAAAAAGo6A/hqYb7RJ7mEs/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Kwa taraarifa zaidi wasiliana na :
0718066661 - Jaji Mgori0787523152 - Tumaini Mgori+199869103747 - Mohammed Mgori
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Mchezaji afariki baada ya kupigwa
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Bondia afariki baada ya 'knock out'
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mchezaji afariki baada ya kupigwa kichwa