TANZIA: OMAR NDEGE MGORI AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lp7ZMpIVo9E/VDdqi26mHHI/AAAAAAAGo6A/hqYb7RJ7mEs/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Familia ya Mzee Ndege Inasikitika kutangaza kifo cha ndugu yao mpendwa Omar Ndege Mgori (pichani) kilichotokea India. Mipango ya mazishi inafanywa nyumbani kwa Marehemu Mbezi Juu Njia ya Goba.Habari ziwafikiw ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo.
Kwa taraarifa zaidi wasiliana na :
0718066661 - Jaji Mgori0787523152 - Tumaini Mgori+199869103747 - Mohammed Mgori
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ohI7YbdHwA8/VhBd_5ZmyyI/AAAAAAAH8qk/_8RoM-Lk9Q8/s72-c/unnamed.jpg)
TANZIA: MZEE SIMON MEMBE AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ohI7YbdHwA8/VhBd_5ZmyyI/AAAAAAAH8qk/_8RoM-Lk9Q8/s320/unnamed.jpg)
Mipango ya mazishi inafanywa Dar es Salaam nyumbani kwa kaka wa Marehemu Mhe Bernard Membe (Mb) Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili nchini siku ya Jumatatu mchana tarehe 5 Oktoba 2015 saa 9 alasiri.
Ibada na heshima za mwisho kwa Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HlgEyrBZaGE/VDk6Ke7N_RI/AAAAAAAGpOQ/qeM58W9OpAI/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
UP DATES:Ratiba ya kamili na kupokelewa kwa mwili wa Marehemu Omar Ndege Mgori
![](http://1.bp.blogspot.com/-HlgEyrBZaGE/VDk6Ke7N_RI/AAAAAAAGpOQ/qeM58W9OpAI/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
Mwili unaondoka leo hii huko nchini India na utapokelewa siku ya jumapili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere Dar es salaam Saa Saba mchana siku hiyo.
Mazishi yatafayika siku ya jumatatu Oktoba 13,2014 kwenye makaburi ya kisutu jijini Dar es salaam.
Msiba kwa sasa upo Mbezi beach nyumbani kwa marehemu.
Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa pindi zitakapo kuwa zikitufikia.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiZlvKTycGtE5tnxRvKCiSJOTcf8XgRU8dSOG0Z*Nt*ymnpA4MCBkOgCKXvFstjZ-o46esI-rq06tOd33OglvcZ/1FlossieGomileChidyaonga.jpg)
TANZIA: BALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1gc__G5h4C4/VGphi6iDBfI/AAAAAAAGx-I/GquKptm9IKE/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU Marehemu Omar Ndege Mgori KUFANYIKA NOVEMBA 23, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-1gc__G5h4C4/VGphi6iDBfI/AAAAAAAGx-I/GquKptm9IKE/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
Dua maalumu ya kumuombea Marehemu Omar Ndege Mgori imepangwa...
10 years ago
Michuzi30 Oct
TANZIA:MUIGIZAJI WA FILAMU NCHINI MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.
![](http://api.ning.com/files/6ovfEf3pFLf*oQbPHC2by35YY*-FqtUtx43oX2zjiLFVY1pwJUFZx0ybIu4NqUB-EugE6XBhRf77Wd5iVW1126brFH2sCsWA/R.I_.P_.jpg?width=650)
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia nchini India leo, mwili wake watarajiwa kuwasili nchini JUMATATU
Majonzi makubwa lufuatia taarifa za msiba jioni ya leo Septemba 24.2015, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani (56), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.
Tayari mamlaka husika ikiwemo Serikali na Bunge kupitia ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kubainisha kuwa, mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Tanzania, siku ya Jumatatu, na shughuli zote Bunge na Serikali zitasimamia...
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Waziri Kigoda afariki dunia nchini India
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
News Alert; Waziri Kigoda afariki dunia nchini India
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh Abdallah Kigoda (pichani) amefariki dunia jioni hii nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo cha Mh Kigoda ambaye pia alikuwa mbunge wa Handeni mkoani Tanga zimethibitishwa na ofisi ya Bunge jijini Dar es Salaam.
Mhe. Dkt. Kigoda alikwenda nchini India kwa matibabu tarehe 18 Septemba, 2015, kupata matibabu katika hospitali Hiyo ya Apollo. Taarifa zaidi kutolewa baadaye.
Modewji Blog inaungana na Familia ya Marehemu pamoja na Watanzania kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UOz7nUMNgdQ/VgQ73p3EvUI/AAAAAAAH7CA/ypIW3QmnEAs/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
STOP PRESS: WAZIRI CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-UOz7nUMNgdQ/VgQ73p3EvUI/AAAAAAAH7CA/ypIW3QmnEAs/s1600/download%2B%25281%2529.jpg)
Taarifa kutoka ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kueleza kwamba mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Dar es salaam siku ya Jumatatu, ambapo Bunge na Serikali zitasimamia maandalizi yote ya maziko na kumsafirisha kwa mazishi nyumbani kwa...