MAHABA NIGARAGAZE, ADUI AWE ‘BABY’ WANGU
![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9KENLTAVmYwor84yhMq-s3N0i808dymZ3QrmkJGwF0RtOWL-lvib8iBr8NjqlXHTnzKXZFdiJIfVxdeYOVdbRgB/1551651_1554018698193229_4950762608629231913_n.jpg)
Na Musa Mateja ILIANZA kama utani lakini siku zilivyosonga ndivyo uhusiano wao ulivyowekwa wazi, hao ni watu wawili waliowahi kuwa maadui wakubwa miaka kadhaa nyuma. Staa wa filamu Shamsa Ford na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ wakifanya yao. Hapo nawazungumzia staa wa filamu Shamsa Ford na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ambao kwa sasa wamezama...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies02 May
Mahaba Niue, Adui Kuwa ‘Baby’!!
Ilianza kama utani lakini siku zilivyosonga ndivyo uhusiano wao ulivyowekwa wazi, hao ni watu wawili waliowahi kuwa maadui wakubwa miaka kadhaa nyuma.
Hapo nawazungumzia staa wa filamu Shamsa Ford na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ambao kwa sasa wamezama kwenye mahaba niue.
Awali, wahusika wote walitumia nguvu kubwa kukanusha juu ya uhusiano wao lakini inatajwa kuwa mahaba yao ndiyo gumzo kuliko ya wengine wote katika Bongo Muvi na yanashika nafasi ya pili katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s72-c/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s640/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPv7bgMctJAOp*3aj3SD*CUQS7tCv1wesyneddiglLAYKsM0c1fvSyoRTimahG2xFc1grNQka*hOjjUs0wsIJ9zA/kadinda.jpg)
KADINDA: NILITAMANI WEMA AWE WANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa7urpd2jGqhrt6Lz-tN*L04GcTrt6*wLZPiw5v*flbW7DUpf1LD9kFNCu97DX0JJq72p0DtfbiUlQnkOIMe4zWj/shishi.jpg)
SHISHI BABY BARNABA MAHABA TENA?
10 years ago
Bongo511 Nov
Amini: Nataka mke wangu ajifungue mtoto wa kiume ili awe mwanasheria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZBoDYTzJR*zSls3KsMqAzN9B96KhNSIm4s3hgytLkbywntnHDII5fJUn3qG*GohgF2uUPgaSap3oMSHo5nJJaY/JOHARI.jpg?width=650)
BABY MADAHA: SIJAMPA PENZI MPENZI WANGU
10 years ago
Bongo Movies27 Jan
Faiza: Sipendi Kumuita Mpenzi Wangu “Baby” Napenda Kumuita...
Mwigizaji mrembo wa filamu hapa Bongo,Faiza Ally ameyasema hayo iliwa ni maoni yake juu ya swala la wapenzi kuitana baby.
“Leo kuna wakati nilikua nasikiliza Clouds fm nika sikia kuna wanaume hawapendi kuitwa baby!! wanahisi ni fake na wanaibiwa, kusema kweli mimi binafsi sipendi kumuita mwanaume mzima na akili zake na ndevu zake eti baby siwezi kutamka kwa sababu naona fake na mm mwenyewe sipendi kuitwa baby , kuna majina Mengi Kama honey ,darling mpenzi ni sawa japo mimi siyatumii pia...
10 years ago
Bongo Movies23 May
Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUA
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni, bila shaka na wewe ANAKUJUA.
Mnaonipa Moyo na Kunipenda kiukweli....NAWAJUA
Wakuongea Nao Ya Moyoni....NAWAJUA
Wale wa kuni baby baby on IG kumbe Hakuna lolote....NAWAJUA
Wale mnajifanya shoulders to cry on ili mpate kunijua kirahisi...NAWAJUA ila SIWEZI KUWAPA HIYO CHANCE AISEEE...I'm Soleeeeee
Wale tunaochekeana kinafki...NAWAJUA I hope MNANIJUA PIA yani TUNAJUANA
Wale Waukweli kbsa ....NAWAJUA
9 years ago
Bongo529 Dec
Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego
![Chagga-na-Nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chagga-na-Nay-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.
Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego
Siku...