Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lilian: Serikali iwatetee wanawake

MGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Lilian Wasira, ameitaka serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutambua kuwa waliwekwa madarakani na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

LILIAN LIUNDI : Mikataba kutetea haki za wanawake iwe shirikishi

SIKU ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila ifikapo Machi 8  ya kila mwaka. Katika siku hii wanawake wote duniani huungana kutetea haki zao, kutafakari michango yao katika jamii, mafanikio na changamoto...

 

10 years ago

Tanzania Daima

LILIAN LIHUNDI: Nguvu ya pamoja itafanikisha sauti za wanawake kusikika

HIVI karibuni tumeshuhudia Bunge Maalum la Katiba likimaliza kazi yake na kukabidhi Katiba inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete huku ikiwa imebeba Ibara 289. Taasisi mbalimbali zimeanza mchakato wa kuichambua katiba...

 

9 years ago

Mtanzania

Lilian awashukuru Watanzania

lilian_kamazimaNA MWANDISHI WETU

MREMBO aliyeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia yaliyofanyika juzi Sanya nchini China, Lilian Kamazima, amewashukuru Watanzania kwa kumuunga mkono toka alipoanza safari yake ya urembo hapa nyumbani hadi kuingia kwenye kumi bora ya warembo wa dunia wenye mchango kwa jamii.

Akitoa shukrani zake, Lilian alisema licha ya kuwa mpweke ila sapoti ya Watanzania hasa kwenye mitandao ya kijamii katika upigaji kura ulimfanya ajihisi yupo nyumbani na kuna watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lilian Kibo yachekelea matokeo

SIKU tatu baada ya serikali kutangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana, imeonekana shule binafsi za sekondari jijini Dar es Salaam, zinaongoza katika orodha...

 

10 years ago

Mwananchi

Lilian Internet apasua jipu

Mnenguaji mahiri na mkongwe nchini, Lilian Internet(35), amesema vijana wengi walio katika fani hiyo wanajihusisha na matumizi ya dawa za kulevya.

 

10 years ago

Michuzi

ADAM MZEE NA LILIAN WAMEREMETA

 Marafiki wakiwa katika picha ya pamoja na maharusi,waliosimama kutoka kushoto ni,Merry Geofrey,Sheila Simba,Hafidh Kido ,John Bukuku,Suleiman Mwenda,Micky, Said Mwishehe,Sharifa,Neema Mwangomo,Abdala Kiluke,Mringi Petro ,katika Harusi ya Adam Mzee iliyofanyika katika Ukumbi wa Kivukoni,Serena Hotel.
Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa  blog maarufu ya Kamerayangu na Lilian ni mtumishi wa NMB Makao Makuu. Katibu Mkuu wa Chama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake CCM waishutumu serikali

BARAZA Kuu la Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Mara, limeishutumu serikali kwa madai ya kuchangia kwa vifo vya kinyama na kikatili vya wanawake wa ukanda...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kuinua wakulima wanawake

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Anna Maembe amesema Serikali itawasaidia wakulima wadogo wanawake ili kuleta tija katika sekta ya kilimo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lilian Wassira azindua ‘Kwaheri CCM’

MWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lilian Wassira, amezindua albamu yenye nyimbo sita zilizobeba ujumbe wa ukombozi, mabadiliko na maendeleo kwa Watanzania inayokwenda kwa jina la ‘Kwa Heri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani