Lilian: Serikali iwatetee wanawake
MGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Lilian Wasira, ameitaka serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutambua kuwa waliwekwa madarakani na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
LILIAN LIUNDI : Mikataba kutetea haki za wanawake iwe shirikishi
SIKU ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila ifikapo Machi 8 ya kila mwaka. Katika siku hii wanawake wote duniani huungana kutetea haki zao, kutafakari michango yao katika jamii, mafanikio na changamoto...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
LILIAN LIHUNDI: Nguvu ya pamoja itafanikisha sauti za wanawake kusikika
HIVI karibuni tumeshuhudia Bunge Maalum la Katiba likimaliza kazi yake na kukabidhi Katiba inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete huku ikiwa imebeba Ibara 289. Taasisi mbalimbali zimeanza mchakato wa kuichambua katiba...
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Lilian awashukuru Watanzania
NA MWANDISHI WETU
MREMBO aliyeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia yaliyofanyika juzi Sanya nchini China, Lilian Kamazima, amewashukuru Watanzania kwa kumuunga mkono toka alipoanza safari yake ya urembo hapa nyumbani hadi kuingia kwenye kumi bora ya warembo wa dunia wenye mchango kwa jamii.
Akitoa shukrani zake, Lilian alisema licha ya kuwa mpweke ila sapoti ya Watanzania hasa kwenye mitandao ya kijamii katika upigaji kura ulimfanya ajihisi yupo nyumbani na kuna watu...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Lilian Kibo yachekelea matokeo
SIKU tatu baada ya serikali kutangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana, imeonekana shule binafsi za sekondari jijini Dar es Salaam, zinaongoza katika orodha...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Lilian Internet apasua jipu
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6llrmIG7_Dk/VUZQssEVUXI/AAAAAAAAHJw/TBRfeCUmjPg/s72-c/3.jpg)
ADAM MZEE NA LILIAN WAMEREMETA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6llrmIG7_Dk/VUZQssEVUXI/AAAAAAAAHJw/TBRfeCUmjPg/s1600/3.jpg)
Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa blog maarufu ya Kamerayangu na Lilian ni mtumishi wa NMB Makao Makuu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Qz953lcNm0/VUZQsl_RllI/AAAAAAAAHJ0/jVt1YHOw-RY/s1600/IMG-20150503-WA0031.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Wanawake CCM waishutumu serikali
BARAZA Kuu la Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Mara, limeishutumu serikali kwa madai ya kuchangia kwa vifo vya kinyama na kikatili vya wanawake wa ukanda...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Serikali kuinua wakulima wanawake
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Lilian Wassira azindua ‘Kwaheri CCM’
MWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lilian Wassira, amezindua albamu yenye nyimbo sita zilizobeba ujumbe wa ukombozi, mabadiliko na maendeleo kwa Watanzania inayokwenda kwa jina la ‘Kwa Heri...