Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ADAM MZEE NA LILIAN WAMEREMETA

 Marafiki wakiwa katika picha ya pamoja na maharusi,waliosimama kutoka kushoto ni,Merry Geofrey,Sheila Simba,Hafidh Kido ,John Bukuku,Suleiman Mwenda,Micky, Said Mwishehe,Sharifa,Neema Mwangomo,Abdala Kiluke,Mringi Petro ,katika Harusi ya Adam Mzee iliyofanyika katika Ukumbi wa Kivukoni,Serena Hotel.
Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa  blog maarufu ya Kamerayangu na Lilian ni mtumishi wa NMB Makao Makuu. Katibu Mkuu wa Chama...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Blogger mkongwe nchini Adam Mzee afunga ndoa na Bi. Lilian Malekia

IMG-20150503-WA0031

Mrs.Adam Mzee  mara baada kufunga pingu za maisha.

Marafiki wakiwa katika picha ya pamoja na maharusi,waliosimama kutoka kushoto ni,Merry Geofrey,Sheila Simba,Hafidh Kido ,John Bukuku,Suleiman Mwenda,Micky, Said Mwishehe,Sharifa, Neema Mwangomo,Abdala Kiluke,Mringi Petro ,katika Harusi ya Adam Mzee iliyofanyika katika Ukumbi wa Kivukoni,Serena Hotel.

Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa  blog maarufu ya Kamerayangu na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jerusalem Films Kuja na Chale Mvuvi Baada ya Mzee wa Swaga, Hadji Adam, Shamsa Ford na Wakali Wengine wa Zanzibari Ndani!!

Mkurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya Jerusalem Films, Jacob Stephen ‘JB’ambae pia ni muigizaji na muongozaji wa filamu, amewaeleza mashabiki wake kuwa wakae mkao wa kula kwani baada ya wiki iliyopita kuingiza movie ya Mzee wa Swaga sokoni, sasa hivi wapo katika maandalizi ya kutoa movie nyingine  mwezi ujao.

"Asanteni sana wadau wa Jerusalem films kwa kuipokea vyema Mzee wa Swaga. sasa tunajiandaa kuwaletea movie nyingine inaitwa CHARLE MVUVI : Waigizaji:Hadji Adam,Shamsa...

 

9 years ago

Mtanzania

Lilian awashukuru Watanzania

lilian_kamazimaNA MWANDISHI WETU

MREMBO aliyeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia yaliyofanyika juzi Sanya nchini China, Lilian Kamazima, amewashukuru Watanzania kwa kumuunga mkono toka alipoanza safari yake ya urembo hapa nyumbani hadi kuingia kwenye kumi bora ya warembo wa dunia wenye mchango kwa jamii.

Akitoa shukrani zake, Lilian alisema licha ya kuwa mpweke ila sapoti ya Watanzania hasa kwenye mitandao ya kijamii katika upigaji kura ulimfanya ajihisi yupo nyumbani na kuna watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lilian Kibo yachekelea matokeo

SIKU tatu baada ya serikali kutangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana, imeonekana shule binafsi za sekondari jijini Dar es Salaam, zinaongoza katika orodha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lilian: Serikali iwatetee wanawake

MGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Lilian Wasira, ameitaka serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutambua kuwa waliwekwa madarakani na...

 

10 years ago

Mwananchi

Lilian Internet apasua jipu

Mnenguaji mahiri na mkongwe nchini, Lilian Internet(35), amesema vijana wengi walio katika fani hiyo wanajihusisha na matumizi ya dawa za kulevya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lilian Wassira azindua ‘Kwaheri CCM’

MWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lilian Wassira, amezindua albamu yenye nyimbo sita zilizobeba ujumbe wa ukombozi, mabadiliko na maendeleo kwa Watanzania inayokwenda kwa jina la ‘Kwa Heri...

 

11 years ago

Mwananchi

LIlian: Sikuwasikiliza wazazi waliponizuia kusoma sayansi

Pamoja na kumheshimu sana baba yangu Siru Kawala, nilimkatalia aliponishauri nisiende kusoma kwenye Chuo cha Sayansi na Teknolojia Mbeya,’’ ndivyo anavyosema Mhandisi Lilian Kawala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani