Introducing Javan Ft. Adam Shule Kongwe, (DDC) Mzee Mzima
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Mzee aliyekatwa nyeti asimulia mkasa mzima
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Nini kimezisibu shule kongwe na za vipaji maalumu?
10 years ago
Habarileo01 Jul
Shule za kata zaimarika, zakaribia kongwe kwa ufaulu
WASTANI wa ufaulu kwa shule za sekondari za Serikali za kata umezidi kuimarika na kukaribia shule za Serikali ambazo ni kongwe.
11 years ago
Michuzi05 May
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Nsumba: Shule kongwe iliyoelimisha vigogo, sasa ipo taaban
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6llrmIG7_Dk/VUZQssEVUXI/AAAAAAAAHJw/TBRfeCUmjPg/s72-c/3.jpg)
ADAM MZEE NA LILIAN WAMEREMETA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6llrmIG7_Dk/VUZQssEVUXI/AAAAAAAAHJw/TBRfeCUmjPg/s1600/3.jpg)
Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa blog maarufu ya Kamerayangu na Lilian ni mtumishi wa NMB Makao Makuu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Qz953lcNm0/VUZQsl_RllI/AAAAAAAAHJ0/jVt1YHOw-RY/s1600/IMG-20150503-WA0031.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 May
Blogger mkongwe nchini Adam Mzee afunga ndoa na Bi. Lilian Malekia
![](http://3.bp.blogspot.com/-57w1g2v_4j8/VUZQsJuhWqI/AAAAAAAAHJs/QBcuetEc4V4/s1600/2.jpg)
Mrs.Adam Mzee mara baada kufunga pingu za maisha.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6llrmIG7_Dk/VUZQssEVUXI/AAAAAAAAHJw/TBRfeCUmjPg/s1600/3.jpg)
Marafiki wakiwa katika picha ya pamoja na maharusi,waliosimama kutoka kushoto ni,Merry Geofrey,Sheila Simba,Hafidh Kido ,John Bukuku,Suleiman Mwenda,Micky, Said Mwishehe,Sharifa, Neema Mwangomo,Abdala Kiluke,Mringi Petro ,katika Harusi ya Adam Mzee iliyofanyika katika Ukumbi wa Kivukoni,Serena Hotel.
Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa blog maarufu ya Kamerayangu na...
11 years ago
Michuzi28 Feb
MTOTO WA KIKE ABURUZWA NA BABA YAKE MTAA MZIMA KWENYE PIKIPIKI KWA KUTOKWENDA SHULE
Mtoto Anastazia Jumanne akiwa amefungwa mikono yake kwenye pikipiki kwa mpira
Na Valence Robert-Geita
Mtoto Anastazia Jumanne (12) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi katika wilaya na mkoa wa Geita amefanyiwa ukatili wa kutisha baada kufungwa mpira kwenye pikipiki na baba yake mzazi na kisha kuanza kumburuza mtaani. Tukio hilo la kusikitisha limetokea jana majira ya sa tatu asubuhi katika moja ya mitaa ya mjini humo ambapo inadaiwa kuwa binti huyo anayesoma darasa la nne katika shule...
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Jerusalem Films Kuja na Chale Mvuvi Baada ya Mzee wa Swaga, Hadji Adam, Shamsa Ford na Wakali Wengine wa Zanzibari Ndani!!
Mkurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya Jerusalem Films, Jacob Stephen ‘JB’ambae pia ni muigizaji na muongozaji wa filamu, amewaeleza mashabiki wake kuwa wakae mkao wa kula kwani baada ya wiki iliyopita kuingiza movie ya Mzee wa Swaga sokoni, sasa hivi wapo katika maandalizi ya kutoa movie nyingine mwezi ujao.
"Asanteni sana wadau wa Jerusalem films kwa kuipokea vyema Mzee wa Swaga. sasa tunajiandaa kuwaletea movie nyingine inaitwa CHARLE MVUVI : Waigizaji:Hadji Adam,Shamsa...