Mzee aliyekatwa nyeti asimulia mkasa mzima
Aprili 19, Mzee London Haonga (61) alipatwa na tukio la kutisha kwa kukatwa sehemu zake za siri. Ni tukio la kusikitisha ambalo linadaiwa kufanywa na vijana wadogo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0atGmsdmURTBG*FTRwne*pikIt9vL-5KYWH7o7RCb6vIk-Ykg99Rt04HYz3ZDSZrxNRhOZlhASsuqnk7pJRx6uX8Eb71V69r/1.gif?width=650)
MJAMZITO AJIFUNGUA NAZI! ASIMULIA MKASA MZIMA, INATISHA
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
MKASA:Amanda asimulia mkasa wakufiwa na mchumba wake ghafla na kumuachia mimba lakini mtoto akafia tumboni
"....Kwenye hii dunia ukizaliwa mpaka unakufa lazima kuna mitihani binaadam utaipitia ,toka nimezaliwa me Amanda mpaka leo hii nimepitia mitihani migumu sana ...lakini katika mitihani yooote hakuna mtihani unaokataa kuondoka ndani ya kichwa changu kama ule niliyowahi kufiwa na mchumba angu tena ghafla nusu saa baada ya kuongea nae na kuniachia mimba then mtoto akafia tumboni....
Kiukweli nilijifunza sana na ndio maana mpaka leo uwa naamini kila mwanamke ameumbwa kutoka kwenye ubavu wa...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
MAMA AMKATA MWANAYE PAJA,ACHOMA MSHIKAKI, SOMA MKASA MZIMA HAPA.
![](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/UKATILI1.jpg)
Kamanda wa Polisi Kilimanjaro Koka Moita alisema mwanamke huyo ataendelea kushikiliwa hadi uchunguzi wa tuhuma hizo utakapokamilika kabla ya kupelekwa mahakamani.
Akizungumza na Gazeti la...
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Mzee akatwa ‘nyeti’ Ileje
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFW29as1MN1fUZDtVmEA-aJDHbIPosQqBoANWKwI9oqq10QIvbteGTA*t3w5sXnGv-rJNVjGBsKXeARWQCn3GC*3/makka.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO ASIMULIA ALIVYONUSURIKA
11 years ago
Michuzi01 Jul
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DKap6Y07kzY/Xs5qCYGehwI/AAAAAAALruw/02mPbjQs2UkagrMONEX4G75IjBrnF0MSgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
MWANAFUNZI ALIYEKATWA MGUU AOMBA MSAADA WA MASOMO
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA
MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba ya wilayani Muleba, Aristidia John, amepata msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (Wheerchair).
Baiskeli hiyo iliyotolewa na taasisi ya The Desk & Chair Foundation ili kumrahisishia usafiri ilikabidhiwa jana kwa mtoto huyo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza (MPC) .
Aristidia ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba wilayani Muleba, alifanyiwa...
9 years ago
StarTV17 Dec
Albino Aliyekatwa Mkono  kuruhusiwa hospitalini Lushoto
Hospitali ya Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga imesema wakati wowote itamruhusu mkazi wa kijiji cha Bungoi Ester Magamba baada ya afya yake kuimarika.
Ester ambaye ni mlemavu wa ngozi Albino alifikishwa katika hospitali hiyo baada ya watu kuvamia nyumbani kwake Desemba 8 na kumkata kidole chake cha mkono wa koshoto.
Tayari Jeshi la Polisi limemkamata mtu mmoja anayedaiwa kuhusika katika tukio hilo na linaendelea kuwatafuta watu wengine wawili..
Wilaya ya Lushoto, wilaya yenye sifa ya kilimo...