Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJAMZITO AJIFUNGUA NAZI! ASIMULIA MKASA MZIMA, INATISHA

Na waandishi Wetu Maajabu! Msichana aliyefahamika kwa jina la Dora mkazi wa Magomeni Bagamoyo mkoani Pwani, hivi karibuni amejikuta akijifungua nazi badala ya mtoto, jambo lililomshangaza kila mtu.
Ushirikina watajwa Dora anayedaiwa kujifungua nazi. Ilidaiwa kuwa, chanzo cha Dora kujifungua nazi ni maneno aliyoambiwa na mke mwenzake aliyefahamika kwa jina la Jamila ambapo aliambiwa hatajifungua kiumbe cha kawaida na ndipo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mzee aliyekatwa nyeti asimulia mkasa mzima

Aprili 19, Mzee London Haonga (61) alipatwa na tukio la kutisha kwa kukatwa sehemu zake za siri. Ni tukio la kusikitisha ambalo linadaiwa kufanywa na vijana wadogo.

 

10 years ago

Bongo Movies

MKASA:Amanda asimulia mkasa wakufiwa na mchumba wake ghafla na kumuachia mimba lakini mtoto akafia tumboni

"....Kwenye hii dunia ukizaliwa mpaka unakufa lazima kuna mitihani binaadam utaipitia ,toka nimezaliwa me Amanda mpaka leo hii nimepitia mitihani migumu sana ...lakini katika mitihani yooote hakuna mtihani unaokataa kuondoka ndani ya kichwa changu kama ule niliyowahi kufiwa na mchumba angu tena ghafla nusu saa baada ya kuongea nae na kuniachia mimba then mtoto akafia tumboni....

Kiukweli nilijifunza sana na ndio maana mpaka leo uwa naamini kila mwanamke ameumbwa kutoka kwenye ubavu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA AMKATA MWANAYE PAJA,ACHOMA MSHIKAKI, SOMA MKASA MZIMA HAPA.

Mwanamke mmoja Kilimanjaro amekamatwa na polisi akidaiwa kumkata mtoto wake mwenye umri wa miaka nane nyama ya paja na kuichoma mithili ya mshikaki.Mwananmke huyo aliyetajwa kwa jina la Dafrosa Massawe anadaiwa kufanya unyama huo mwishoni mwa wiki na majirani wanasema mama huyo alifanya hivyo akiwa amelewa.
Kamanda wa Polisi Kilimanjaro Koka Moita alisema mwanamke huyo ataendelea kushikiliwa hadi uchunguzi wa tuhuma hizo utakapokamilika kabla ya kupelekwa mahakamani.
Akizungumza na Gazeti la...

 

10 years ago

Michuzi

RAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI

Kiongozi wa Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) katika Makazi ya Mishamo, Adolph Bishanga akimkabidhi chandarua na shuka raia mpya wa Tanzania, ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Kapemba, Kata ya Mishamo, wilayani Mpanda, Ageva Moses (kulia) baada ya kujifungua mtoto wa kiume wakati akiwa katika kituo cha kupokelea cheti cha uraia katika Kijiji cha Ifumbula wilayani humo. Licha ya maafisa wa Serikali pamoja na UNHCR kutoa maelekezo kuwa wagonjwa na wasiojiweza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mgodi wa mkasa Tanzania

Habari ya uokolewaji wa wachimba madini watano waliokutwa hai baada ya kufukiwa chini ya ardhi kwa siku 41, umeendelea kusisimua wengi nchini Tanzania

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi yasherehekea ushindi dhidi ya Nazi

Waride kubwa la kijeshi mjini moscow tangu kuvunjika kwa muungano wa Usovieti linafanyika hii leo nchini Urusi.

 

11 years ago

GPL

TUI LA NAZI: Dawa ya Kufubaza VIRUSI

Nazi ikiliwa na binadamu hugeuza aina hizo za mafuta kuwa tindikali ambayo kitaalamu huitwa ‘medium chain fatty acids’ au kwa kifupi (MCFA’s) ambazo huua na kutokomeza virusi vya aina mbalimbali mwilini. Hivyo dawa hii ni chakula na ilitengenezwa maalum kwa waathirika ambao hawana uwezo wa kupata dawa za hospitali ARV’s lakini pia ni nzuri kwa wale ambao wanatumia dawa hizo kwani matokeo ya afya njema...

 

10 years ago

Habarileo

Vijana jela miaka 2 wizi wa nazi 50

SULEIMAN Mbarouk Mshimba (29) pamoja na Khamis Juma Makalela (30) wameanza kutumikia kifungo baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la wizi wa nazi zipatazo 53 katika matukio mawili tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani