Lilian Wassira azindua ‘Kwaheri CCM’
MWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lilian Wassira, amezindua albamu yenye nyimbo sita zilizobeba ujumbe wa ukombozi, mabadiliko na maendeleo kwa Watanzania inayokwenda kwa jina la ‘Kwa Heri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
DC Makonda azindua Vitabu vya Mwl.Lilian Ndegi
Mkuu wa Wilaya Kinondoni Mh.Paul Makonda siku ya jana katika kanisa la Living Water Center chini ya mtumishi wa Mungu Apostle Onesmo Ndegi alikuwa mgeni wa heshima katika uzinduzi wa vitabu vitatu “MJUE MWANAMKE,USIIPE HOFU NAFASI na RAFIKI ANAYEKUFAA vilivyoandikwa na Mwl Lilian Ndegi wa Kanisa la Living Water Center Kawe.
Ibada hiyo ya uzinduzi wa vitabu ilipambwa na vikundi vya uimbaji sifa kama Living Waters wenyeji Upendo Nkone,GUG Dancers na More Than Enough Band.
Mkuu huyo wa wilaya...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Wassira: Nitamuunga mkono yeyote wa CCM
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wassira amesema yupo tayari kumuunga mkono mgombea yeyote atakayeteuliwa na CCM kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, endapo nafasi hiyo haitaangukia mikononi mwake.
10 years ago
Habarileo20 Nov
CCM itashinda uchaguzi serikali za mitaa - Wassira
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira amezungumzia mbio za urais ndani ya CCM na kusema kishindo cha vikumbo vya wagombea ni ishara tosha kwamba kinakubalika.
10 years ago
Habarileo23 Jun
Wassira aeleza siri foleni ya urais CCM
MGOMBEA wa nafasi ya urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wassira amesema kujitokeza kwa idadi kubwa ya wanaoomba nafasi hiyo kwa tiketi ya chama hicho inatokana na ukubwa wa CCM, ambayo ina hazina kubwa ya viongozi.
10 years ago
Habarileo14 Nov
Wassira ajitosa kuvunja makundi CCM Arusha
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu ), Stephen Wasira amesema yupo tayari kuvunja makundi ya kudumu, yanayoonekana kuwapo baina ya Mbunge wa zamani wa Jimbo Arusha Mjini kupitia CCM, Felix Mrema na Batilda Burian, aliyewahi kuwania ubunge katika jimbo hilo, lakini hakufanikiwa.
10 years ago
Habarileo10 Jun
CCM ikisimamisha mla rushwa, itapoteza dola, asema Wassira
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira amesema iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya kosa kumsimamisha mgombea mla rushwa, kitapoteza dola.
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Rt-DNzsVA00/Uv4k8Cewg_I/AAAAAAAAL54/Wmu0HQTMIDg/s1600/g3.jpg)
MAKAMBA, WASSIRA NAO WAHOJIWA NA KAMATI NDOGO YA MAADILI CCM
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) lampa ‘Mkono wa kwaheri’ Kingunge Ngombale Mwiru
Pichani ni picha ya Maktaba: Kingunge Ngombale Mwilu (kushoto) ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM Taifa mapema Agosti 16, amevuliwa nafasi hiyo na uongozi wa UVCCM Taifa kufuatia kikao chao kilichokaa jijini Dar es Salaam.
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1.Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Xqq1BMIyUYM/XkjU_abYF8I/AAAAAAACHsg/D2e1hA15jekrx7Gnq7PAgj2yW504fGiUACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200216_080217_565.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TANZANIA BARA AZINDUA OFISI YA CCM MKOA WA GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xqq1BMIyUYM/XkjU_abYF8I/AAAAAAACHsg/D2e1hA15jekrx7Gnq7PAgj2yW504fGiUACLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200216_080217_565.jpg)
15.02.2020
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Philip Japhet Mangula amezindua jengo la ofisi ya CCM Mkoani Geita ambalo ni limejengwa na viongozi wa Chama na Serikali, Wanachama wa CCM pamoja na wadau mbalimbali Mkoani hapo.
Aidha, Ndugu Mangula akiwahutubia wana CCM hao...