Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lilian Kibo yachekelea matokeo

SIKU tatu baada ya serikali kutangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana, imeonekana shule binafsi za sekondari jijini Dar es Salaam, zinaongoza katika orodha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DRFA YACHEKELEA TIMU ZAKE KUMALIZA TATU BORA LIGI KUU

Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam kimeonesha furaha yake baada ya timu tatu zilizo katika himaya yake, kumaliza katika nafasi za juu kwenye ligi kuu Tanzania bara iliyomalizika jumamosi mei 9,2015.
Kamati ya utendaji ya DRFA chini ya mwenyekiti wake Almas Kasongo,imesema ni jambo la kufurahisha kuona mkoa wa Dar es salaam unafanya vizuri kisoka na kuwa mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.
Timu hizo zimepongezwa kutokana matayarisho waliyoyafanya tangu kuanza kwa msimu,ambapo mabenchi ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Spoilt for choice at the Kibo Palace

Dining out is about the food and more about the experience, and well, I have been part of this for years. And it is always a pleasure to re-visit a hotel you ate at last time and you were happy. This is exactly what I did recently.

 

11 years ago

TheCitizen

Kibo Palace raises Arusha’s profile

The hotels in Arusha, with their different features and services, ranging from budget to five stars have always been a fascination to a host of visitors in the region.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bia ya Kibo Gold yashinda tuzo

BIA ya Kibo Gold imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa katika sherehe za 53 za kila...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Banuelia bingwa Kibo Diabetes Awareness

MWANARIADHA Banuelia Bryton ameibuka mshindi wa mbio za hisani kutoa ujumbe dhidi ya ugonjwa wa kisukari, kilomita 8 (Kibo Diabetes Awareness 8 km Race) zilizofanyika mjini hapa jana. Banuelia ameshinda...

 

11 years ago

GPL

LILIANI KIBO HIGH SCHOOL YA GOBA, DAR, YAFANYA MAHAFALI

Wahitimu wa kidato cha sita wa Lilian Kibo High School wakati wa mahafali. Mwanafunzi bora katika masomo ya sayansi, Alkhadil Issa akipokea zawadi.…

 

9 years ago

Mtanzania

Lilian awashukuru Watanzania

lilian_kamazimaNA MWANDISHI WETU

MREMBO aliyeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia yaliyofanyika juzi Sanya nchini China, Lilian Kamazima, amewashukuru Watanzania kwa kumuunga mkono toka alipoanza safari yake ya urembo hapa nyumbani hadi kuingia kwenye kumi bora ya warembo wa dunia wenye mchango kwa jamii.

Akitoa shukrani zake, Lilian alisema licha ya kuwa mpweke ila sapoti ya Watanzania hasa kwenye mitandao ya kijamii katika upigaji kura ulimfanya ajihisi yupo nyumbani na kuna watu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lilian: Serikali iwatetee wanawake

MGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Lilian Wasira, ameitaka serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutambua kuwa waliwekwa madarakani na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani