Wanawake CCM waishutumu serikali
BARAZA Kuu la Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Mara, limeishutumu serikali kwa madai ya kuchangia kwa vifo vya kinyama na kikatili vya wanawake wa ukanda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Human Right Watch waishutumu Israel
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Lilian: Serikali iwatetee wanawake
MGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Lilian Wasira, ameitaka serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutambua kuwa waliwekwa madarakani na...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Serikali kuinua wakulima wanawake
10 years ago
Habarileo08 Mar
Serikali kutoa kipaumbele uwezeshaji wanawake
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema serikali za awamu zote nne za uongozi zimekuwa mstari wa mbele wa kuhakikisha zinatoa kipaumbele katika masuala yanayohusu uwezeshaji wanawake kwenye nyanja zote ili kuleta usawa wa kijinsia.
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Mkono aishukia serikali mauaji ya wanawake
MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, ameishutumu serikali kwa kushindwa kudhibiti vitendo vya mauaji ya kikatili wanayofanyiwa wanawake katika baadhi ya vijiji vya Tarafa ya Nyanja huku akisema serikali imekuwa...
10 years ago
Habarileo18 Nov
Serikali yabanwa ukaguzi Benki ya Wanawake
WABUNGE jana waliibana Serikali wakidai kuwa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB), fedha zake hazijakaguliwa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), tangu kuanzishwa kwake.
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Mtandao wa Wanawake na Katiba waiomba Serikali ya Dk. Magufuli
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake na Katiba na Uchaguzi, Profesa Ruth Meena (kushoto) akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jana jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Edah Sanga.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Wanawake Tanzania, Mary Rusimbi (kushoto) ambaye ni mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba na Uchaguzi akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti...
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
‘Wanawake acheni kuikumbatia CCM’
MWENYEKITI wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), Mkoa wa Mwanza, Pendo Ojijo, amewataka wanawake nchini kuachana na dhana ya kukikumbatia Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika masuala mbalimbali kwani...