Tigo yampongeza msanii Diamond Platnumz kwa kushinda tuzo ya Kimataifa
Meneja wa huduma ya Tigo music, Balla Shareeph akiongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kumpongeza msanii Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ kwa kupata tuzo ya msanii bora wa Afrika za MTV 2015 zilizofanyika mjini Durban, Afrika Kusini, Kampuni ya Tigo ilidhamini tukio hilo jana jijini Dar Es Salaam.
Msanii Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ akiongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kumpongeza kushinda tuzo ya msanii bora wa Afrika za MTV 2015 zilizofanyika mjini...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QwOioJR3DFk/VHw1NqaNa-I/AAAAAAAG0cw/2TE2MlijX34/s72-c/diamond21.jpg)
BASATA YAMPONGEZA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHOAMVA14
![](http://1.bp.blogspot.com/-QwOioJR3DFk/VHw1NqaNa-I/AAAAAAAG0cw/2TE2MlijX34/s1600/diamond21.jpg)
Tuzo alizoshinda Diamond ni pamoja na Most Gifted East African Artist, Most Gifted Afro Pop video na ile ya Most Gifted New Comer.
Kushinda kwa Diamond katika tuzo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-efiSvsqbQz8/VC5uhHMrH_I/AAAAAAAGng0/NQtnyrglvck/s72-c/Diamond1.jpg)
BASATA YAMPONGEZA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA WA MWEZI WA KITUO CHA MTV BASE
![](http://1.bp.blogspot.com/-efiSvsqbQz8/VC5uhHMrH_I/AAAAAAAGng0/NQtnyrglvck/s1600/Diamond1.jpg)
Aidha, Baraza linampongeza msanii huyu na wenzake Peter Msechu na Vannessa Mdee kwa kuchaguliwa kushindania tuzo mbalimbali katika tuzo za “All...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MjACZjMns40SaYjnCy9kFTbbnPVPq14ZS5hBbSZi6h4nwke8LtoRuG5SIhXuIRkwRSHUPlsdmtVbaaUCpFGGO*5/08diamondtuzo8.jpg?width=650)
PONGEZI KWA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHOAMVA14
11 years ago
MichuziTASWIRA ZA MAPOKEZI YA DIAMOND BAADA YA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA WA KIUME AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
GPLMPIGIE KURA MSANII DIAMOND PLATNUMZ KWENYE TUZO ZA MTV MAMA
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Diamond Platnumz: Bongofleva inakua kwa kasi kimataifa
10 years ago
Bongo528 Dec
Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria