Diamond Platnumz: Bongofleva inakua kwa kasi kimataifa
Huenda akizungumza unaweza usimwelewe, lakini Diamond Platnumz aliamua kufikiri nje ya boksi na kufanikiwa kufanya kile alichokuwa akikikusudia, leo hii tayari makumi ya wasanii wameanza kutembea katika nyayo zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rTNaGGeJpf8/XkV0FoFKTMI/AAAAAAALdSU/hvQAJIkbTM4d2RPx5Y9OwY5G4nrM7PFLgCLcBGAsYHQ/s72-c/9ec10a8e-0f00-4735-ba46-d6a88475afce.jpg)
Sekta ya Uvuvi inakua kwa kasi- Ulega.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rTNaGGeJpf8/XkV0FoFKTMI/AAAAAAALdSU/hvQAJIkbTM4d2RPx5Y9OwY5G4nrM7PFLgCLcBGAsYHQ/s640/9ec10a8e-0f00-4735-ba46-d6a88475afce.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/92c7c2fb-1f64-440e-9431-d0c3fe2255e6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/25f4644d-cb85-467d-b174-f1aec052140e.jpg)
********************************
Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amewahakikishia wadau wote wanaokusudia kuwekeza kwenye sekta ya Mifugo na Uvuvi kuwa Serikali ya awamu ya tano ipo tayari...
11 years ago
Habarileo17 Feb
Mama Pinda asema Vicoba inakua kwa kasi
MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema miongoni mwa mifumo ya fedha inayokuwa kwa kasi nchini ni Benki za Vijijini (Vicoba). Alisema hayo juzi Kimanga, Dar es Salaam alipokuwa akizindua rasmi muungano wa Vicoba wenye vikundi 71 vyenye wanachama 600, ambao ndio waliopo katika mchakato wa Muungano huo.
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Tigo yampongeza msanii Diamond Platnumz kwa kushinda tuzo ya Kimataifa
Meneja wa huduma ya Tigo music, Balla Shareeph akiongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kumpongeza msanii Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ kwa kupata tuzo ya msanii bora wa Afrika za MTV 2015 zilizofanyika mjini Durban, Afrika Kusini, Kampuni ya Tigo ilidhamini tukio hilo jana jijini Dar Es Salaam.
Msanii Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ akiongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kumpongeza kushinda tuzo ya msanii bora wa Afrika za MTV 2015 zilizofanyika mjini...
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Diamond Platnumz: Bila Kiingereza huwezi kuwa wa kimataifa
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema kuwa lugha ya Kiingereza ni lazima kwa msanii anayetaka kuwa wa kimataifa.
Diamond alipokuwa kwenye mahafali ya darasa la saba Shule ya Rightway, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, alisema
lugha hiyo ilimpa hofu wakati alipokuwa akitaka kufikia soko la kimataifa.
“Mwaka jana nilipata mwaliko wa kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother, Babu Tale, akaniambia baada ya onyesho nitafanyiwa...
10 years ago
Vijimambo28 Nov
DIAMOND PLATNUMZ KWENYE KAMPENI NYINGINE ZA KIMATAIFA, PICHA, VIDEO NA STORY ZIPO HAPA
![Diamond](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/11/Diamond1.jpg?resize=425%2C244)
Jana Novemba 27 alikuwa ndani ya Jumba la BBA Afrika Kusini na mwanamuziki Fally Ipupa wakiwa na ujumbe wa ONE Campaign kuhimiza kilimo, leo taarifa ninayokupa ni kuwa amekuwa mmoja ya wasanii ambao...
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini inakua vigumu kulinganisha viwango vya corona kimataifa?