Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sekta ya Uvuvi inakua kwa kasi- Ulega.

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza mbele ya Wadau  wanaokusudia kuwekeza kwenye sekta ya Mifugo na Uvuvi wakati wa kufungua kituo cha ufugaji wa samaki kwa njia za kisasa kinachojulikana kama “Big Fish” kilichopo Wilaya ya Kigamboni jijini Dar-es-salaam.

********************************

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amewahakikishia wadau wote wanaokusudia kuwekeza kwenye sekta ya Mifugo na Uvuvi kuwa Serikali ya awamu ya tano ipo tayari...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ULEGA AWATAKA MAAFISA UVUVI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA SEKTA YA UVUVI



 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (kulia) akisikiliza hoja na malalamiko kutoka kwa mmoja wadau wa sekta ya uvuvi katika Kijiji cha Kigombe Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga.Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe. Jumaa Aweso ( wa kwanza kutoka kulia) akifuatiwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega wakikagua punda...

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond Platnumz: Bongofleva inakua kwa kasi kimataifa

Huenda akizungumza unaweza usimwelewe, lakini Diamond Platnumz aliamua kufikiri nje ya boksi na kufanikiwa kufanya kile alichokuwa akikikusudia, leo hii tayari makumi ya wasanii wameanza kutembea katika nyayo zake.

 

11 years ago

Habarileo

Mama Pinda asema Vicoba inakua kwa kasi

MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema miongoni mwa mifumo ya fedha inayokuwa kwa kasi nchini ni Benki za Vijijini (Vicoba). Alisema hayo juzi Kimanga, Dar es Salaam alipokuwa akizindua rasmi muungano wa Vicoba wenye vikundi 71 vyenye wanachama 600, ambao ndio waliopo katika mchakato wa Muungano huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa

Uvuvi usiokuwa endelevu unafanyika katika Ziwa Nyasa na kusababisha samaki adimu waliokuwapo kuendelea kutoweka mwaka hadi mwaka.

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA UVUVI NA MIFUGO ULEGA AFUNGUA SHAMBA LA MAFUNZO NA UFUGAJI WA SAMAKI 'BIG FISH FARM' JIJINI DAR

 Naibu Waziri wa  Uvuvi na Mifugo Mhe. Abdallah Ulega akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Shamba la mafunzo na ufugaji wa Samaki (Big Fish Farm) lililopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Shamba hilo linatumika kwa uzalishaji na kufundishia jinsi ya kilimo cha ufugaji wa samaki aina ya Kambale na Sato. Picha zote na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG. Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania Mhe. balozi Jeroen Verheul akizungumza katika ufunguzi wa  shamba la mafunzo na ufugaji wa Samaki...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania na miaka 10 ya ukuaji wa kasi na kuimarika kwa sekta ya Mawasiliano

tcra2

TCRA , MIAKA 10 YA UKUWAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO, TANZANIA.doc

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sekta ya uvuvi yapigiwa chapuo

NCHI za Afrika zimekubaliana kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha sekta ya uvuvi inakuwa na mchango mkubwa wa kukuza uchumi katika nchi hizo. Akizungumza katika semina iliyoandaliwa na Umoja wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nchi za Afrika kukuza sekta ya uvuvi

NCHI za Afrika zimekubaliana kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha sekta ya uvuvi inakuwa na mchango mkubwa katika kukuza uchumi kwenye nchi hizo. Akizungumza katika semina iliyoandaliwa na Umoja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani