Mama Pinda asema Vicoba inakua kwa kasi
MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema miongoni mwa mifumo ya fedha inayokuwa kwa kasi nchini ni Benki za Vijijini (Vicoba). Alisema hayo juzi Kimanga, Dar es Salaam alipokuwa akizindua rasmi muungano wa Vicoba wenye vikundi 71 vyenye wanachama 600, ambao ndio waliopo katika mchakato wa Muungano huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VHUIrRa2qys/UwCdLYkoG-I/AAAAAAAFNbE/Y6Llj0PgFnE/s72-c/images.jpg)
MTAJI WA VICOBA NCHINI UNAKUA KWA KASI SANA - MAMA TUNU PINDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VHUIrRa2qys/UwCdLYkoG-I/AAAAAAAFNbE/Y6Llj0PgFnE/s1600/images.jpg)
Alisema hayo alipokuwa akizindua rasmi muungano wa VICOBA wenye vikundi 46 na vikundi 25 vyenye jumla ya wanachama 600 ambao ndio waliopo katika mchakato wa muungano huo, Jana Mchana Jumamosi, Februari 15, 2014 katika Kata ya Kimanga Jijini Dar es Salaam.
Mfumo wa VICOBA umeendelea kushamiri na kuenea katika maeneno mbalimbali nchini ambapo wananchi wengi hasa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rTNaGGeJpf8/XkV0FoFKTMI/AAAAAAALdSU/hvQAJIkbTM4d2RPx5Y9OwY5G4nrM7PFLgCLcBGAsYHQ/s72-c/9ec10a8e-0f00-4735-ba46-d6a88475afce.jpg)
Sekta ya Uvuvi inakua kwa kasi- Ulega.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rTNaGGeJpf8/XkV0FoFKTMI/AAAAAAALdSU/hvQAJIkbTM4d2RPx5Y9OwY5G4nrM7PFLgCLcBGAsYHQ/s640/9ec10a8e-0f00-4735-ba46-d6a88475afce.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/92c7c2fb-1f64-440e-9431-d0c3fe2255e6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/25f4644d-cb85-467d-b174-f1aec052140e.jpg)
********************************
Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amewahakikishia wadau wote wanaokusudia kuwekeza kwenye sekta ya Mifugo na Uvuvi kuwa Serikali ya awamu ya tano ipo tayari...
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Diamond Platnumz: Bongofleva inakua kwa kasi kimataifa
9 years ago
MichuziMFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA
11 years ago
Michuzi09 Jul
DIWANI WA TLP LUPINGU ASEMA YEYE SI MPINZANI ,AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE KWA KASI YA MAENDELEO
Na Francis Godwin Blog.
DIWANI wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kata ya Lupingu wilaya ya Ludewa mkoani Njombe John Kiowi amempongeza mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kwa jitihada zake anazozifanya katika kuwapelekea maendeleo wananchi wa Ludewa huku akiwashangaa wapinzani wanaopinga jitihada mbali mbali zinazofanywa na serikali ya chama cha Mapinduzi (CCM) na kudai kuwa yeye si mpinzani wa uchwara wa kupinga maendeleo .
Akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6TD3zIHIkFQ/VNCFss0iVLI/AAAAAAAB2zg/nI2uCadFLwA/s72-c/image11.jpeg)
MBUNGE MGIMWA ACHANGIA VICOBA TANANGOZI ,ASEMA NDOTO YAKE KUWA NA BENKI YA WANANCHI WA JIMBO LA KALENGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6TD3zIHIkFQ/VNCFss0iVLI/AAAAAAAB2zg/nI2uCadFLwA/s640/image11.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qajrAfWYjL8/VNCFoS3PDBI/AAAAAAAB2zY/IaLOl7zSL4s/s640/image1.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uAoGbbs1uOs/VNCHJ5TRIrI/AAAAAAAB20Y/ZbQVqKhSaRQ/s640/image2.jpeg)
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Elimu itolewe kwa wananchi ili kuzuia kasi ya maambukizi mapya ya VVU Wilayani Mafia — Mama Salma Kikwete
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akizungumza na wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia (hawapo pichani).
Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani).
Na Anna Nkinda – Maelezo, Mafia
Viongozi wa wilaya ya Mafia na wafanyakazi wa Idara ya afya wametakiwa kuhakikisha elimu ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inatolewa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s72-c/Lulu-na-mama.png)
LULU ASEMA NYUMBA ALIYOMZAWADIA MAMA YAKE SI YA KUHONGWA, AMEJENGA KWA MIAKA MINNE
![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s640/Lulu-na-mama.png)
Lulu alimpa zawadi hiyo mama yake kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa January, 2015. Je Lulu aliwezaje kufanya mambo makubwa kama hayo katika umri mdogo na kwa kipato cha kuigiza peke yake? Hayo ni maswali ambayo wengi walijiuliza, kiasi cha kuwafanya wengine waamini kuwa labda amehongwa.Lulu amesema...
9 years ago
Michuzi02 Sep
KIMBISA AMNADI MAGUFULI KWA NGUVU, MAMA PINDA ANOGESHA...!
![Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa akicheza wimbo wa hamasa wa kampeni za CCM kabla ya kuanza kumnadi Dk. Magufuli kwa wanaUWT, Mkoa wa Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0310.jpg)
!['...Na wapigwe tu maana hamna namna nyingine..' Mke wa Waziri Mkuu wa Tanzania, Mama Tunu Pinda akizungumza na akinamama wa UWT Mkoa wa Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0287.jpg)
Na Mwandishi Wetu, DodomaMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa ameweka kando msimamo aliyokuwa nao awali na kuanza kumnadi kwa nguvu mgombea wa...