Diamond afungukia kuchelewa kuchukua tuzo za MTV
Staa anayekimbiza kunako muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Musa mateja
STAA anayekimbiza kunako muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefungukia sababu zilizomfanya kuchelewa kuchukua tuzo za MTV Europe (EMA) na kuchukua Desemba mwaka huu ni kuwa hazikuwa halisi.
Akizungumza na Amani, Diamond aliyepata tuzo katika vipengele vya Msanii Bora Afrika pamoja na Msanii Bora kutoka Afrika/India alisema kuwa tuzo hizo walitangazwa kushinda lakini...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4WDC6E*QE9GQZsZj8EDcsRtEQgrWOaTSxxTdOvbFcD*je-JeDwwEk8jsBNy6hi979wsQGJ8vF8IdRPOdWy-mXD0/11199470_1002922379731138_968098397_n.jpg?width=650)
TUZO YA MTV YAMPA KIWEWE DIAMOND!
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qSLDD4V5iqc/U3dFd6gkfpI/AAAAAAAChRo/9wLDR3-6KHg/s72-c/1.jpg)
Diamond atamba kutwaa tuzo MTV
![](http://2.bp.blogspot.com/-qSLDD4V5iqc/U3dFd6gkfpI/AAAAAAAChRo/9wLDR3-6KHg/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mymP46UmZSc/U3dFlqAiuvI/AAAAAAAChSA/9Q7978x8YH8/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VBUcXgJz7Tg/U3dFuUADSwI/AAAAAAAChSI/gTz7J8XWcEA/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5lSaSrDOJ0g/U3dFxn1hMLI/AAAAAAAChSY/liHKaGpkYbk/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AFZaQgUDmHs/U3dF4pXCGaI/AAAAAAAChSg/jLyVJG6rWlo/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WdBrlztb9ag/U3dFhRQUhII/AAAAAAAChRw/VJpLMLI-hiM/s1600/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4VtY4_GNovA/U3dFhROcoKI/AAAAAAAChR0/M2_QSg7fLE4/s1600/11.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75oHq56bBqpzLq*DPuaYiqKfGbz1PlXDL-SXd5hqVZEtG1YDu1KhtJ-T94IrTnxAsokbszAWKu0KUNwGpj2eJ3Xc/Diamond.jpg?width=640)
TUZO ZA MTV SAUZI, DIAMOND MUMUACHE
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Diamond atwaa tuzo ya Mtv-Base
NYOTA ya Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond’, imezidi kung’aa baada ya kutwaa tuzo ya Msanii Bora wa mwezi huu wa Kituo cha Televisheni cha Mtv-Base cha Afrika...
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Diamond amshinda Miss Dunia tuzo za MTV-EMA
NA MWANDISHI WETU
MKALI WA muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, amempiku mwigizaji na mwanamuziki aliyewahi kuwa mrembo wa dunia mwaka 2000, Priyanka Chopra, kwenye tuzo za MTV Europe Music Awards (MTV-EMA).
Tuzo hizo zilizofanyika nchini Italia usiku wa kuamkia jana, wawili hao walikuwa wanachuana kwenye kipengele cha ‘Best Worldwide Act’, tuzo ambayo ilikuwa na ushindani mkubwa kutoka kwa nyota wengine wa muziki kutoka mataifa ya Australia, New Zealand,...
10 years ago
Bongo509 Sep
Diamond atajwa kuwania tuzo za MTV Europe, #MTVEMA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/dimaond.jpg)
DIAMOND ATWAA TUZO YA MTV EMA NCHINI ITALIA