Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond atamba kutwaa tuzo MTV

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Naseeb Abdul ‘Diamond’akiongea na waandishi wa habari kabla ya kuanza show hiyo,(kushoto), ni wasanii wa kundi la Sauti Sol.  Picha ya pamoja.  Watangazaji wa MTV Base Vanessa Mdee (kushoto),  na Nomuzi Mabe (kulia), wakiwaelezea mashabiki wa muziki kuhusina na show  hizo.  Kundi la Mi Casa likitoa burudani.  Diamond akitoa burudani.   Mashabiki mbalimbali waliofurika katika ukumbi huo wakifuatilia show. Mashabiki mbalimbali waliofurika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BAADA YA KUTWAA TUZO 3 SAUZ, DIAMOND KUPIGA SHOO MAREKANI

STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' anataraji kufanya shoo ya nguvu Jumamosi ijayo ya Desemba 6, mwaka huu nchini Marekani. Diamond ambaye juzi usiku alikomba tuzo tatu za Channel O ambazo ni Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One anataraji kupiga shoo jijini Washington DC kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Sheraton akiwa na crew yake ya Wasafi. ...

 

10 years ago

GPL

TUZO YA MTV YAMPA KIWEWE DIAMOND!

BAADA ya kuchukuwa Tuzo ya Mtumbuizaji Bora Afrika mwishoni mwa wiki iliyopita, staa anayetikisa kupitia Ngoma ya Nana, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameonekana kama kupata kiwewe. Katika kusheherekea usiku wa tuzo hizo zinazojulikana kama MTV Africa (MAMA), Diamond alitupia picha mbalimbali kwenye mitandao yake ya kijamii na mojawapo ilimuonesha akiwa amelala huku tuzo yake ikiwa pembeni ya kitanda na kufunguka;...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diamond atwaa tuzo ya Mtv-Base

NYOTA ya Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond’, imezidi kung’aa baada ya kutwaa tuzo ya Msanii Bora wa mwezi huu wa Kituo cha Televisheni cha Mtv-Base cha Afrika...

 

11 years ago

GPL

TUZO ZA MTV SAUZI, DIAMOND MUMUACHE

Staa wa Bongo fleva, Diamond Platinumz akipozi na mpenzi wake Wema Sepetu ndani ya Ukumbi wa ICC, Durban nchini Afrika Kusini.
Stori: MWANDISHI WETU WAMUACHE! Hii ndiyo kauli pekee ambayo unaweza kuisema kwa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwani Jumamosi iliyopita alifanya maajabu na kuishangaza dunia kufuatia shoo kali aliyoangusha katika Tuzo za MTV Africa (Mama) 2014 katika Ukumbi wa ICC, Durban...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond afungukia kuchelewa kuchukua tuzo za MTV

hhj2Staa anayekimbiza kunako muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

Musa mateja
STAA anayekimbiza kunako muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefungukia sababu zilizomfanya kuchelewa kuchukua tuzo za MTV Europe (EMA) na kuchukua Desemba mwaka huu ni kuwa hazikuwa halisi.

Akizungumza na Amani, Diamond aliyepata tuzo katika vipengele vya Msanii Bora Afrika pamoja na Msanii Bora kutoka Afrika/India alisema kuwa tuzo hizo walitangazwa kushinda lakini...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, VANESSA MDEE WATAJWA TUZO ZA MTV 2015

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond', yupo katika kipengele cha Best Male. Staa wa muziki Tanzania, Vanessa Mdee 'Vee money',  yupo katika kipengele cha Best Female . Best Male
AKA…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani