TUZO YA MTV YAMPA KIWEWE DIAMOND!
![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4WDC6E*QE9GQZsZj8EDcsRtEQgrWOaTSxxTdOvbFcD*je-JeDwwEk8jsBNy6hi979wsQGJ8vF8IdRPOdWy-mXD0/11199470_1002922379731138_968098397_n.jpg?width=650)
BAADA ya kuchukuwa Tuzo ya Mtumbuizaji Bora Afrika mwishoni mwa wiki iliyopita, staa anayetikisa kupitia Ngoma ya Nana, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameonekana kama kupata kiwewe. Katika kusheherekea usiku wa tuzo hizo zinazojulikana kama MTV Africa (MAMA), Diamond alitupia picha mbalimbali kwenye mitandao yake ya kijamii na mojawapo ilimuonesha akiwa amelala huku tuzo yake ikiwa pembeni ya kitanda na kufunguka;...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Diamond atwaa tuzo ya Mtv-Base
NYOTA ya Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond’, imezidi kung’aa baada ya kutwaa tuzo ya Msanii Bora wa mwezi huu wa Kituo cha Televisheni cha Mtv-Base cha Afrika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75oHq56bBqpzLq*DPuaYiqKfGbz1PlXDL-SXd5hqVZEtG1YDu1KhtJ-T94IrTnxAsokbszAWKu0KUNwGpj2eJ3Xc/Diamond.jpg?width=640)
TUZO ZA MTV SAUZI, DIAMOND MUMUACHE
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qSLDD4V5iqc/U3dFd6gkfpI/AAAAAAAChRo/9wLDR3-6KHg/s72-c/1.jpg)
Diamond atamba kutwaa tuzo MTV
![](http://2.bp.blogspot.com/-qSLDD4V5iqc/U3dFd6gkfpI/AAAAAAAChRo/9wLDR3-6KHg/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mymP46UmZSc/U3dFlqAiuvI/AAAAAAAChSA/9Q7978x8YH8/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VBUcXgJz7Tg/U3dFuUADSwI/AAAAAAAChSI/gTz7J8XWcEA/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5lSaSrDOJ0g/U3dFxn1hMLI/AAAAAAAChSY/liHKaGpkYbk/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AFZaQgUDmHs/U3dF4pXCGaI/AAAAAAAChSg/jLyVJG6rWlo/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WdBrlztb9ag/U3dFhRQUhII/AAAAAAAChRw/VJpLMLI-hiM/s1600/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4VtY4_GNovA/U3dFhROcoKI/AAAAAAAChR0/M2_QSg7fLE4/s1600/11.jpg)
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Diamond afungukia kuchelewa kuchukua tuzo za MTV
Staa anayekimbiza kunako muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Musa mateja
STAA anayekimbiza kunako muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefungukia sababu zilizomfanya kuchelewa kuchukua tuzo za MTV Europe (EMA) na kuchukua Desemba mwaka huu ni kuwa hazikuwa halisi.
Akizungumza na Amani, Diamond aliyepata tuzo katika vipengele vya Msanii Bora Afrika pamoja na Msanii Bora kutoka Afrika/India alisema kuwa tuzo hizo walitangazwa kushinda lakini...
10 years ago
Bongo509 Sep
Diamond atajwa kuwania tuzo za MTV Europe, #MTVEMA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/dimaond.jpg)
DIAMOND ATWAA TUZO YA MTV EMA NCHINI ITALIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wib7New*8449JzCm7vuy20o0qs5Uz5h3CUBFj8cGSALM8n0D9ziE8f5zLwVoZN1KorbvjGuzubDtva2JiDuw2NqvNUbobUQS/MTV.jpg?width=650)
DIAMOND, VANESSA MDEE WATAJWA TUZO ZA MTV 2015