Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Davido na Wizkid watumbuiza pamoja kwenye jukwaa moja Lagos

wizkid-davido2

Mastaa wa muziki wa Nigeria, Davido na Wizkid wamethibitisha kumaliza kabisa tofauti zozote zilizowahi kuwepo kati yao, baada ya kutumbuiza pamoja jukwaani kwenye show iliyofanyika Alhamisi Dec.3, 2015 jijini Lagos.

Kwa mujibu wa video iliyosambaa ya show hiyo ya club, Davido ndiye aliyekuwa wa kwanza kupanda jukwaani na kuimba wimbo wake wa ‘Dami Duro’, na wakati wimbo unaelekea kuisha ghafla Wizkid alitokea upande wa mashabiki na kuvutwa mkono na Davido kupanda jukwaani, wakaendelea...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na mastaa wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, AKA, K.O kwenye tamasha la ‘AMC 2015′ Afrika Kusini

Vanessa Mdee a.k.a Vee Money anaendelea kupata mashavu ya kimataifa, ambapo hivi sasa ataiwakilisha Bongo katika tamasha la ‘African Music Concert’ 2015 (AMC) linalotarajiwa kufanyika October 24, 2015 Johannesburg, Afrika Kusini. Hit maker wa ‘No Body But Me’ atashare jukwaa na mastaa wengine wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, Uhuru, A.K.A, K.O, RunTown, Victoria Kimani, Dama […]

 

9 years ago

Bongo5

Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos

12301250_207304429604231_67909760_n

Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.

12301250_207304429604231_67909760_n

Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.

“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.

Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.

12357796_1532490560405730_1494566873_n
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia

Jiunge na...

 

10 years ago

Bongo5

Video/Picha: Davido na Wizkid wakutana uso kwa uso na kula bata pamoja

Hatimaye mastaa wa Nigeria Davido na Wizkid wamethibitisha hadharani kuwa sasa hali ni shwari kati yao, baada ya kukutana uso kwa uso na kuonesheana upendo kwa kukumbatiana huku kila mmoja akionesha kufurahia kukutana kwao. Wizkid na Davido wamekutana weekend iliyopita katika Escape night club huko Ilorin, Nigeria ambapo walikula bata pamoja katika club hiyo.

 

11 years ago

Bongo5

Mandela Day: Mafikizolo na Davido watumbuiza kwenye show iliyooneshwa live kupitia website ya MTN

Show ya bure iliyodumu kwa dakika 67 imefanyika leo jijini Johannesburg, Afrika Kusini kuadhimisha siku ya Mandela. Mafikizolo wakitumbuiza Tamasha hilo limeonekana live kupitia website ya MTN ambapo wateja wake barani kote waliweza kuiangalia mchana wa Ijumaa hii. Wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Davido, Emmy Gee, KCee, Harry Song, Mafikizolo, Oskido, Uhuru na Black Motion. […]

 

9 years ago

Mtanzania

Linah, Feza jukwaa moja na Davido Nigeria leo

linNA MWANDISHI WETU

WANAMUZIKI nyota wa Bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga ‘Linah Sanga’ na Feza Kessy, leo watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria, katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival, litakalofanyika Lagos, Nigeria.

Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii wakali nchini humo kama vile Davido, Kiss Daniel, Iyanya na  Olamide, huku wengine wakiwa Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle na...

 

9 years ago

Michuzi

Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido nchini Nigeria

 Na Mwandishi wetu
Wanamuziki nyota wa bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy  ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na  Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama  Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle...

 

9 years ago

Global Publishers

Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido, Iyanya, Kiss Daniel Nigeria leo

Linah Sanga

Estelina Peter Sanga.

Na Mwandishi wetu

Wanamuziki nyota wa Bongo Fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy leo ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.

Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan,...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND NDANI YA LAGOS, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akilikagua jukwaa atakapopiga shoo hapo kesho kwenye zoezi la utoaji tuzo za Mchezaji Bora wa Afrika katika Jiji la Lagos nchini Nigeria. (Picha na Facebook)

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND NDANI YA LAGOS NCHINI NIGERIA, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akilikagua jukwaa atakapopiga shoo hapo kesho kwenye zoezi la utoaji tuzo za Mchezaji Bora wa Afrika katika Jiji la Lagos nchini Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani