Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fuso lapinduka, vijana wanywa bia za bure

Dar es Salaam. Baadhi ya watu jana ‘waligida’ pombe za bure baada ya Fuso lililokuwa limebeba masanduku ya bia kupinduka katika Barabara ya Mandela, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JE, UNAPENDA BIA ZA BURE?

LEO nichukue nafasi ndugu wananchi kutoa darasa ambalo litawasaidia wengi tu. Lakini haswa darasa hili ni kwa wanaume wanywaji wa pombe na hasa wale wanaoipenda lakini pesa hawana. Kuna wale jamaa zangu ambao wamejiwekea utaratibu wa kupata japo chupa mbili za bia kila siku japokuwa mbongo tee, au kwa Kiswahili cha mjini mkwanja umekataa. Kitu cha kwanza kabisa lazima uhakikishe kuwa unakuwa smat unapoelekea bar au grosary kwenda...

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso ni Faida’ campaign

                

Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures.

This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond

Motors (Hansa Group) has introduced NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency, operation...

 

9 years ago

Michuzi

Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso niFaida’ campaign

                         Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures. This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond Motors (Hansa Group) has introduceda NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bila uwekezaji soka ya vijana kazi bure

SOKA ya Tanzania bado inakabiliwa na changamoto nyingi ambazo kwa hakika zimeifanya ishindwe kupiga hatua kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Zipo sababu nyingi zinazochangia hali hiyo,...

 

10 years ago

Michuzi

WANAHABARI MBEYA WATEMBELEA KIWANDA CHA BIA CHA TBL NA KUSHIRIKI SHINDANO LA KUONJA BIA

WAANDISHI wa Habari Mkoa wa Mbeya hivi karibuni walifanya ziara ya kutembelea kiwanda cha bia TBL Mbeya ambapo pia walipata nafasi ya kushiriki mashindano ya kuonja bia.
Katika shindano hilo, Mzoefu Saada Matiku ambaye ni mwandishi wa Chanel Ten aliibuka kidedea kwa kupata alama tano kwa tano ikiwa ni mara ya pili tangu apate nafasi kama hiyo kwenye mashindano ya mwaka juzi.
washindi wengine ni Kenneth Ngelesi wa Tanzania Daima aliyeibuka mshindi wa pili huku Merali Chawe wa Daily news...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF yapima afya bure wananchi wiki ya vijana Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabota Fatuma Mwasa akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika maonesho ya wiki ya vijana yanayofanyika kitaifa mkoani humo, aliyesimama ni Meneja wa Mfuko Mkoa wa Tabora. Vijana wakiwa kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakipima afya zao. Katika maonesho hayo Mfuko unaendesha zoezi la upimaji afya bure. Mtaalam wa macho Antony Janken akimpima macho Rehema Majaliwa ambapo huduma ya macho pia inatolewa bandani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bagamoyo wanywa maji ya malambo

WAKAZI wa Kijiji cha Dihozile, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, wanatembea kwa saa mbili kufuata huduma ya maji ya malambo. Wakizungumza na Tanzania Daima hivi karibuni, walisema tangu kijiji hicho...

 

11 years ago

GPL

WANYWA DAWA YA MGANGA WA KIENYEJI, WAUGUA

Bibi Zaina Athumani. Stori: Makongoro Oging’
HII nayo ni kali na haijawahi kutokea. Wakazi wawili wa Vingunguti kwa Simba Mbili jijini Dar akiwemo mwenye nyumba wamekimbizwa hospitalini na polisi baada ya kunyweshwa dawa na mganga wa kienyeji waliyemleta ili azindike nyumba yao. Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita Vingunguti nyumbani kwa Zaina Athumani,70, ambaye ndiye mwenye nyumba aliyeleta mganga huyo ili azindike...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanywa pombe kali hatarini kupata upofu’

>Unywaji pombe kali kupita kiasi, umetajwa kuwa chanzo cha upofu, huku uhaba wa madaktari wanaotibu ugonjwa huo, vifaa tiba vikielezwa kuwa kikwazo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani