NHIF yapima afya bure wananchi wiki ya vijana Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabota Fatuma Mwasa akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika maonesho ya wiki ya vijana yanayofanyika kitaifa mkoani humo, aliyesimama ni Meneja wa Mfuko Mkoa wa Tabora.
Vijana wakiwa kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakipima afya zao. Katika maonesho hayo Mfuko unaendesha zoezi la upimaji afya bure.
Mtaalam wa macho Antony Janken akimpima macho Rehema Majaliwa ambapo huduma ya macho pia inatolewa bandani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNHIF yatoa huduma za upimaji afya bure wiki ya Utumishi wa Umma
11 years ago
Michuzi
NSSF YAPIMA AFYA BURE KWA WAKAZI WA MKOA GEITA



10 years ago
Michuzi
NHIF YAZINDUA HUDUMA ZA MATIBABU ZINAZOTOLEWA BURE NA MADAKTARI BINGWA-TABORA



10 years ago
MichuziNHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA
11 years ago
Michuzi
Wadau wa Vijana washiriki mdahala katika Wiki ya Vijana mkoani Tabora


11 years ago
MichuziNHIF yapongezwa kwa huduma za upimaji Afya bure


10 years ago
Michuzi
NHIF yaombwa kuendelea na huduma ya upimaji wa afya bure

Na Catherine Kameka
WADAU wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wameuomba Mfuko huo kuendeleza programu za upimaji wa afya bure ili kuwasaidia wanachama wake na wananchi kwa ujumla kujua hali za afya zao lakini...
11 years ago
Michuzi
WADAU WA PSPF WACHANGAMKIA UPIMAJI AFYA BURE KWA NHIF




BOFYA HAPA KWA...
10 years ago
MichuziMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR